Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ni kubwa maana Singida alifika nusu final ya CrdbAPR ni sawa na Singida Black star ✨
Pale churaa anapokuwa busy na habari za Mnyama Simba..Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.
Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.
Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.
Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.
Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
magoma fc ndiyo wa kuonea huruma jamani; kapigwa viwili kule bondeni pamoja na kujaza wazee wote ukitia ndani debe na kimeo wa LusakaWaoneeni huruma jamanii, wakubwa wenzutu hawa.
Hapa kiburi chake ni hiyo kofia, wahuni wakipita nayo kwisha habari yake!