Simba wawaalika APR ya Rwanda siku ya Simba day

Pale churaa anapokuwa busy na habari za Mnyama Simba..
Huoni aibu.
 
magoma fc ndiyo wa kuonea huruma jamani; kapigwa viwili kule bondeni pamoja na kujaza wazee wote ukitia ndani debe na kimeo wa Lusaka
7_2
Bado inakupa wenge
 
Mzee magoma
Nikiwa AUGSBURG
UBUNTU BOTHO
View attachment 3047684
Hapa kiburi chake ni hiyo kofia, wahuni wakipita nayo kwisha habari yake!
Dingi anazingua kinoma, wakati Yanga ikiwa mbovu, omba omba hatukumuona leo kuna makombe ameibuka!
Apewe tu timu yake au kama vipi aanzishe timu yake maana Yanga ni ya Mzee Karume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…