technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kama taratibu zinaruhusu kuna shida gani? focus yetu ipo CAF Champions..Kuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.
Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni kukwepa vichapo mfululizo .
My take Yanga msikubali kusogeza mechi mbele nyie ndio mna game Nigeria Hawa wapo hapahapa bongo.
Pia Simba mjitambue na mkumbuke kwa Kaizer Chief ilikuwaje baada ya game zenu ku be cancelled!?
Waidadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!ππππππ
Washabiki wa Yanga ni chupidi sanaKuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.
Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni kukwepa vichapo mfululizo .
My take Yanga msikubali kusogeza mechi mbele nyie ndio mna game Nigeria Hawa wapo hapahapa bongo.
Pia Simba mjitambue na mkumbuke kwa Kaizer Chief ilikuwaje baada ya game zenu ku be cancelled!?
Waidadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bila source huu ni ushangingi kama ushangingi mwingineKuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.
Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni kukwepa vichapo mfululizo .
My take Yanga msikubali kusogeza mechi mbele nyie ndio mna game Nigeria Hawa wapo hapahapa bongo.
Pia Simba mjitambue na mkumbuke kwa Kaizer Chief ilikuwaje baada ya game zenu ku be cancelled!?
Waidadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
..Kuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.
Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni kukwepa vichapo mfululizo .
My take Yanga msikubali kusogeza mechi mbele nyie ndio mna game Nigeria Hawa wapo hapahapa bongo.
Pia Simba mjitambue na mkumbuke kwa Kaizer Chief ilikuwaje baada ya game zenu ku be cancelled!?
Waidadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Uto pro max .....na round hii mnapigwa nje ndani tenawwIkiahirishwa ni faida kwa Yanga kwa sababu sidhani kama Simba wana cha kupoteza dhidi ya mwarabu
Thubutu!!πͺπͺπUto pro max .....na round hii mnapigwa nje ndani tenaww