Tetesi: Simba wawakimbia Yanga tarehe 16

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Kuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.

Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni kukwepa vichapo mfululizo .

My take Yanga msikubali kusogeza mechi mbele nyie ndio mna game Nigeria Hawa wapo hapahapa bongo.

Pia Simba mjitambue na mkumbuke kwa Kaizer Chief ilikuwaje baada ya game zenu ku be cancelled!?

Waidadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Yan utopolo wanajihakikishia kwamba hyo mechi kwao watshinda kirahic..🐸🐸msiende na matokeo uwanjan
 
Upuuzi Mtupu


Simba Usiifananishe Na Utopolo,
 
Kama taratibu zinaruhusu kuna shida gani? focus yetu ipo CAF Champions..
 
Washabiki wa Yanga ni chupidi sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Bila source huu ni ushangingi kama ushangingi mwingine
 
..

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…