Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Tofauti ya mwanaYanga na kolo ni kubwa, Yangu huongea kwa hoja na Makolo huongea matusi tu na hili si la bahati mbaya, Makolo wamejaa hasira za pira papatu papatu na kutokuwa na kombe lolote na ligi zote huanza kwa mbwembwe na kuishia kuangukia pua! Ngao ya jamii ni mbao sio kombe!Hili sio jukwaa la matusi, jifunzeni kujibu hoja kinzani kiungwana.