Simba we don’t deserve this

Hili sio jukwaa la matusi, jifunzeni kujibu hoja kinzani kiungwana.
Tofauti ya mwanaYanga na kolo ni kubwa, Yangu huongea kwa hoja na Makolo huongea matusi tu na hili si la bahati mbaya, Makolo wamejaa hasira za pira papatu papatu na kutokuwa na kombe lolote na ligi zote huanza kwa mbwembwe na kuishia kuangukia pua! Ngao ya jamii ni mbao sio kombe!
 
Darasa la tatu,mwalimu wangu alinisisitiza niache ujinga na niamue kuandika:-
1-Simba doesn't deserve it. OR,
2-We,Simbas, don't deserve it.
3-They don't deserve it.
Cha ajabu,hadi leo namuamini.🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…