kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
Natoa ushauri huu ili sisi ambao hatutaweza ingia mkapa tuweze shangilia nasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna tatizo la tickets?Naunga mkono hoja ili tuwaaibishe wote waliopanga kuhujumu jambo letu.Viongozi shughulikieni hili!
Wakiligomea hili nalo basi kwa umoja wetu mashabiki wa Simba SC tumekubaliana tutaendelea kukaa nje ya uwanja wa Lupaso mwanzo mwisho huku tukiendelea na shamra shamra za Simba Day.
Buku tatu umesikia banda LA mpira like!!Natoa ushauri huu ili sisi ambao hatutaweza ingia mkapa tuweze shangilia nasi
Iyo ela bora ukabetNatoa ushauri huu ili sisi ambao hatutaweza ingia mkapa tuweze shangilia nasi
Ndio.Wanazingua sana hawa wapuuzi wa N-Cards.Hivi kuna tatizo la tickets?
Mwaka jana si mlisema ivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natoa ushauri huu ili sisi ambao hatutaweza ingia mkapa tuweze shangilia nasi
Ukijiadhari wewe inatoshaKuna Corona, tujiadhari hata Hans ni Corona ilimuondoa kutokana na mambo ya soka
Tickets hazipatikani au kuna tatizo gani ?Ndio.Wanazingua sana hawa wapuuzi wa N-Cards.
Kaka yake naye amefariki. Leo watu wanakwenda kubeba CoronaUkijiadhari wewe inatosha
Tickets zimeisha zoteTickets hazipatikani au kuna tatizo gani ?
Nani anawajibika kuwapa tender hao N cards?
Sold out au wamezibania tu ?Tickets zimeisha zote
Ndio, zilikuwa tickets 45,000Sold out au wamezibania tu ?
Wew utopolo!?Kaka yake naye amefariki. Leo watu wanakwenda kubeba Corona
Uwanja unachukua watu 60000 hao 15k itakuwaje ?Ndio, zilikuwa tickets 45,000