[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah hii nimecheka hadi watu wananshangaaa tyuuh.Wakati wakubwa wakina Simba,Alhly,Mazembe,Mamelod na wengine wakiwa kwenye kikao Yanga wapo nje ya geti wanasubiri kikao kiishe wasafishe ukumbi.
Uto mbona hawapiti hapa?
Vp kuhusu wale Fc Platnum ya Zimbabwe kama siwaoniduh kweli aisee basi team ya kishingo haipo hata top 70 duuh
wako nyuma ya utopolo ..hahaaaNaona Recretivo do Libolo wako namba 71.
Umenifurahisha ulipokata list kisa umpate Utopolo tu. π€£π€£π€£.Yeeessss mambo ni fayaaaa ranking mpya ya CAF mwezi january imetoka simba iko nafasi ya 17 ikiwa na points 14, utopolo wako namba 69 wakiwa na point 1, Gor Mahia ni ya 29, kwa Afrika mashariki mnyama mkali ni namba 1 ya pili Gor Mahia ya tatu ni rayon wakifatiwa na KCCA kisha utopolo ni namba tano.
Ila hawa Libolo walitutenda kipindi fulaniNaona Recretivo do Libolo wako namba 71.
Mtani wacha nimalizie furaha ya kukununisha jana hebu. ππUmenifurahisha ulipokata list kisa umpate Utopolo tu. π€£π€£π€£.
Shadeeya my dear njoo huku wamekuweka nafasi ya 69 wakati kuna TK Master.
Ni sawa na kichaa anaondoka nyumbani asubuhi na kurudi na makopo jioni. Faida yake ni nini nyau nyie.Utopolo ni utopolo tu, hakuna namna ya kuifikia Simba
Hongera mtani kwa kutwaa kombe la Bonanza japo nimelala mapema. Mshukuruni Shikalo maana si kwa utalaam wa kukamata penati huo.Mtani wacha nimalizie furaha ya kukununisha jana hebu. ππ
Kisha ndo nije unifafanulie mleta uzi anaongelea kitu gani. Teh.
Ndiyo maana wanajiropokea tu kama wamekunywa maji ya chooniUto na maneno yote yale ya mashabik ni ya 69?
Duh, umeuaWakati wakubwa wakina Simba,Alhly,Mazembe,Mamelod na wengine wakiwa kwenye kikao Yanga wapo nje ya geti wanasubiri kikao kiishe wasafishe ukumbi.