je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Hii timu nilikuwa siielewi kwanini imefika hapa. Mechi iliyopita nilikuwa taifa pale, walikuwa wamejaza mabeki timu nzima ili wasifungwe.
Na hapa kwao leo sikuona walichocheza, timu inashindwa kupiga hata pasi tano kwenda mbele, walikuwa wanavizia tu penati. Ila Refa kama aliwashtukia mwanzoni, nadhani Eng. Hersi alishampa ishara Refa kabla.
Hii Club Africain ni Zalan FC iliyochangamka tu, hata hivyo hongereni Yanga kwa kutinga Shirikisho.
Wapinzani wenu mnyama mkali yupo kwa mabingwa wenzake. Mdogo mdogo na nyie mtafika Champions League.
Na hapa kwao leo sikuona walichocheza, timu inashindwa kupiga hata pasi tano kwenda mbele, walikuwa wanavizia tu penati. Ila Refa kama aliwashtukia mwanzoni, nadhani Eng. Hersi alishampa ishara Refa kabla.
Hii Club Africain ni Zalan FC iliyochangamka tu, hata hivyo hongereni Yanga kwa kutinga Shirikisho.
Wapinzani wenu mnyama mkali yupo kwa mabingwa wenzake. Mdogo mdogo na nyie mtafika Champions League.