Simba ya Mgunda ingejipigia Club Africain goli tano bila

Uwahi leba sasa ujifungue salama mama, maana sio kwa uchungu huo
 
Kweli rage akukosea kuwaita mbumbumbu, kabla ya mechi maneno yalikuwa yanga anaenda kupigwa hamsa na waarabu wakali wakiwa kwao baada ya mechi simba ya mgunda ingejipigia 5, akili zenu ni sawa na inzi wa chooni tu amna tofauti
 
Nadhani Ile ndege kuanguka kule bukoba Wala mihogo wanaweza kuwa chanzo.. wachunguzwe Hawa watu maana hawashindwi kitu
Acha kutumia mitandao vibaya. Ukiitwa uthibitishe hizo tuhuma utaweza kuzithibitisha?
 
Singida iliyo panda daraja ime watoa kamasi. Hadi mmechomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…