Simba ya mwaka kesho sijui

Yaani wachezaji wa yanga wanaokuja bure wengine kwa mkopo kutoka tp mazembe ndo yanga mnajiona mnatimu ya kucheza na red arrows kwani CAF champion's league ni mbali tutaona hzo kelele zenu.
 
Nikiangalia jinsi usajiri wa mwaka huu naona kama hata hiyo robo fainal km hatutoikanyaga mn naona kuanzia uongozi mpk mashabiki km hatuna raha kbs na usajiri huu cjui muhindi kachomoa betri?
Kwanza rekebisha ni usajili si usajiri. Simba alieondoka ni bwalya morison na wawa tu, sasa sijui hawa ndio waliotufanya tufike robo fainali
 
Binafsi natamani Simba ifanye.vibaya ili mashabiki tuongee lugha moja maana naona kwa sasa hatuelewani bado kuna mashabiki wajinga wajinga wanaukubali uongozi uliopo ingawa wamethibitisha ni wababaishaji wakubwa.

Wamelenga kupata vijihela vya app lakini hawataki udhamini wa billion 40 za Azam.
Wanatutapeli sisi eti Afrika itasimama kwa kusajili wachezaji wa Coastal na Mbeya Kwanza?!!!
 
Nikiangalia jinsi usajiri wa mwaka huu naona kama hata hiyo robo fainal km hatutoikanyaga mn naona kuanzia uongozi mpk mashabiki km hatuna raha kbs na usajiri huu cjui muhindi kachomoa betri?
Utajuaje na wewe kibuyu tu?
 
Umeongea kiufundi zaidi na sio kishabiki, kiufupi simba haihitaji usajili mkubwa sana zaidi ya kuboresha maeneo ambayo msimu ulioisha tulifeli ambao ni eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji ambao binafsi naona wameshafanyia kazi katika usajiri
 
Hii timu ikijitahidi sana itacheza Play off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…