johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sehemu nyingi tu zina baridi wakati huu huko Marekani. Watafute sababu nyingine ya kufunikia ile sababu halisi.Hii ni kwa mujibu wa mtendaji mkuu wa Simba kwamba Simba haikwenda kuweka kambi Marekani kwa kuhofia joto na wameenda South Afrika kwenye baridi.
Amesisitiza kuwa tatizo siyo ukata bali tabia nchi.
Source ITV habari!
Yanga mbona wameenda bigwa morogoro...na mechi za kimataifa watacheza hukohuko bigwa??? π π πUende Marekani alafu mechi unacheza Namfua..
Yanga nasikia wapo bigwa morogoro wakati walituambia wataenda chinaπππSehemu nyingi tu zina baridi wakati huu huko Marekani. Watafute sababu nyingine ya kufunikia ile sababu halisi.
Labda baridi zinakujaga ghafraMimi mwenyewe nimeghairi leo kwenda Mbagala kwa sababu kuna joto, nitaenda Njombe kwenye baridi.
Kuna mlevi akaniuliza "ina maana hilo joto umelijua leo?"
Kwa hiyo Simba imeghairishakwa vile Yanga imeghairisha?Yanga nasikia wapo bigwa morogoro wakati walituambia wataenda chinaπππ
Nyie yanga mnafuatilia sababu za simba kughaili mbona nyie hamjataja sababu za kughaili kutoka safari ya kwenda china mpaka kwenda bigwa morogoro...pilipili msiyoila yawawashia niniKwa hiyo Simba imeghairishakwa vile Yanga imeghairisha?
HUJAJIBU maswaliNyie yanga mnafuatilia sababu za simba kughaili mbona nyie hamjataja sababu za kughaili kutoka safari ya kwenda china mpaka kwenda bigwa morogoro...pilipili msiyoila yawawashia nini
Huko ulaya tumewapeleka simba queens so hatujataka waongozane na kaka zao....vipi umeridhika????....najua ukisikia simba queens wapo ulaya wakati yanga mpo bigwa morogoro mnaiba matikiti lazima povu liwatoke π π π π....sasa zamu yako kujibu....vipi china mliyosema mtaenda ndo hii china ya bigwa morogoro?????HUJAJIBU maswali
Unajua simba queen walipo??...wapo germany wakati nyi yanga mpo bigwa morogoroNani awape visa ya Marekani..wakati Ulaya tu kuna kumbukumbu ya wachezaji wenu kutoroka....
Kwa hiyo Marekani ni ulaya?Huko ulaya tumewapeleka simba queens so hatujataka waongozane na kaka zao....vipi umeridhika????....najua ukisikia simba queens wapo ulaya wakati yanga mpo bigwa morogoro mnaiba matikiti lazima povu liwatoke π π π π....sasa zamu yako kujibu....vipi china mliyosema mtaenda ndo hii china ya bigwa morogoro?????
Kwani bigwa morogoro ndo china???Kwa hiyo Marekani ni ulaya?
Duh wewe jamaa unahitajika sana uwe na Manara hapo Msimbazi siyo kwa juhudi hizoKwani bigwa morogoro ndo china???
Juhudi zipi mkuu..nyie ni mafundi sana wa kuuliza kwanini simba wameenda south africa na si marekani kama walivyotangaza mwanzo...ila mnashindwa kuwauliza viongozi wenu kwanini wamepeleka timu bigwa morogoro na si china kama walivyowatangazia mwanzo...yaani ni mnakomalia yasiyowahusu wakati ya kwenu yanawashindaDuh wewe jamaa unahitajika sana uwe na Manara hapo Msimbazi siyo kwa juhudi hizo