johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii ni kwa mujibu wa mtendaji mkuu wa Simba kwamba Simba haikwenda kuweka kambi Marekani kwa kuhofia joto na wameenda South Afrika kwenye baridi.
Amesisitiza kuwa tatizo siyo ukata bali tabia nchi.
Source ITV habari!
Amesisitiza kuwa tatizo siyo ukata bali tabia nchi.
Source ITV habari!