Simba yaelekea kupata aibu kwa Mwakalebela

Simba yaelekea kupata aibu kwa Mwakalebela

Chama alishasema mapema kuwa hakuna kiongozi yeyote wa Yanga aliyemwendea...video hiyo ipo...ila pamoja na hayo huyo Mwakalebela dah..amejiabisha sana...viatu vya Yanga havimtoshi kabisa...Halafu Hawa Simba nao issue ya Mwakalebela itaibua mengi...Nafahamu kuwa Kuna watu wa Yanga wanacho kitu na ambacho Kama watakiweka hadharani ardhi itapasuka kwa hakika...tusubiri tuone ...
Mgombea ubunge wa CCM Iringa Mjini huyo 2015.
 
dah! kweri we unauwezo mdogo sana wa kufikiri, wewe ktk bandiko lako si ndio uliwek mfano w kauli y mauaji km utetez wako sa watu wakakwambia utoe iyo kauli kuhusu mkuu wa nchi afu unajibu pumba, hii inaonyesha ni jinsi gani kichwa kilivyojaa mashudu, shame on you

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninabisha kwani ile siku ya utani duniani fool's day huwa Kuna mipaka ya kusema uongo?

Wewe unatoa mfano wa maRais kwenye nchi zisizo na demokrasia ya kutosha. Hapa kwetu wacha Mwakalebela hata Rais huwa anatania watu anaoweza kuwatania na haimuondolei urais wake na aliyetaniwa huwa anakenua tu Kama hacheki.
 
Hivi mtu akisema nimeua mtu hafalu hakuna mtu aliyeuawa wala ushahidi wa kuua mtu huyo mtu anaweza kutiwa hatiani kwa kosa la kuua mtu?

Hivi mtu akisema nimemuua Bwana Mateso Kamau halafu Bw. Mateso Kamau anaonekana mitaani yuko hai na anakanusha kuuawa na huyo Bwana mahakama inaweza kumnyonga huyo mtu kwa kosa la mauaji?

Itakuwaje kama Chama atasema kuwa hajawahi kuwa na mazungumzo na Mwakalebela na hakuna ushahidi kuwa kweli Mwakalebela amezungumza na chama. Mwakalebela atahukumiwa kwa kosa gani kwa kuvunja sheria na kanuni ipi ya soka?

Sanasana ungekuwa wakati mzuri kwa Mwakalebela kupelekwa hospital kupimwa akili (mental status evaluation) ili kujiridhisha afya yake ya akili kwa kusema ameua mtu wakati hakuua mtu.

Au ni kwakuwa Rais wa TFF ni Simba pia ndiyo maana Simba inapeleka huko hata vitu vya hovyo ambavyo hawajavifanyia kazi na kupata ushahidi wake?

Wacha tuone hiyo kesi itaendeshawaje na kuhukumiwaje.
Chama na wakala wake wameshakanusha kuongea na Lebela!
 
kavulata,

Ungejuwa umebobea kwenye mambo ya biashara na brand ungeelewa kwanini Simba wamemshtak TFF. We huoni hata ulaya vilabu vinahizuia kumuongelea tu kwenye media kuwa wanamtaka mchezaj flan achilia mbal kusema kuwa tushaongea nae na kumalizana nae sababu wanajua implication zake katika maswala ya kibiashara. Fred kama kiongoz kauli yake ni kauli ya Yanga, hakuwa professional.

Umeaza kiu Simba na Yanga zaidi ukiwaza kibiashara ungejua kwa nini ni tatizo.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizi timu mbili zishazoeshana huu ujinga so kama ni hivyo Simba hawakupaswa kufanya hivyo. Ni Mara ngapi Manara akiwa anaongelea mambo ya simba anaiponda yanga waziwazi na kuwadhihaki wachezaji wa yanga waziwazi na bado yanga wanakausha tu?. Sasa naamini hili litapita na Mwakalebela atashinda ila kitachofuata hapo Simba wataingia matatani kwa mambo hayohayo muda si mrefu mana wao ndio vinara we hizi ishu
 
Hahaaaaa natamani nicheke ila ukiona mtu mzima amechuchumaa ujue kaona aibu yupo uchi.

Mtasubiria sana watani maana hata barua yenu mliyopeleka FIFA sijui iliishia wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sio mwanasoka ndio maana huyajui haya!

Mpenda soka yeyote lazima ayatambue haya huwezi kuzungumza na mchezaji wa klabu nyingine yeyote mwenye mkataba ili umsajili pasipo kuiandikia club yake barua kwanza ili mfanye hayo mazungumzo.
.
Nitakupa mfano sakata la Griezman kwenda Barca, Barca walizungumza nae msimu mmoja kabla na wakajua kwenye mkataba wake kuna kipengele ambacho kama watamnunua msimu ule wangetoa paund million 120 lakini kqa msimu ujao dau litashuka sana na ndicho walichokifanya unfortunately Atletico wakagundua na wakawashitaki Barca.
.
Kipengele kipo cha kuzuia hili kwenye katiba ya TFF nikikipata nitakiweka hapa.
Umedandia treni kwa mbele kitachofataa.....[emoji2]. Ni kwamba kupitia redio mwakalebela yeye alisema ameongea na chama na amehakikishiwa kuwa chama atasaini yanga msimu ukiisha. Baada ya maneno Yale simba wakaja juu na kusema watamshitaki mwakalebela TFF kwa kitendo cha kuongea na mchezaji wao ilihali angali na mkataba wa miaka miwili.

Baada ya kusikia hivyo, Mwakalebela akajitokeza na kuomba msamaha kwa kauli ile huku akisema kiukweli hakuongea na chama na aliongea hivyo katika utani tu kwa sababu simba na yanga ni watani. Na akaahidi kutorudia tena. Mchezaji alipoulizwa juu ya hilo akakanusha kuwa hajawahi ongea na mwakalebela,hata wakala wa mchezaji nae akakataa.

Pamoja na mwakalebela kuomba radhi na kuahidi kutorudia kosa la kusema hivyo japo hakuongea kweli na mchezaji au wakala, bado Simba wakampeleleka mwakalebela TFF. Mi nadhani walivyomjambisha tu hadi akaomba radhi ilitosha sasa walivyoenda tff ni kukosa ukomavu,na ninaamini Simba wao ndio wanaoongoza ktk mambo kama hayo, hivyo tutegemee visasi na Simba hawata survive ktk hili japo Mwakalebela atashinda kesibyake tena kiurahisi tu
 
Utani huwa hauna mipaka na hauchagui cha na lakusema, ilimradi tu ifahamike kuwa unaemtania ni mtani wako kweli au ni siku ya utani Kama vile siku ya wajinga, kwenye msiba, nk. Ila uliyemtania akikasirika sio vibaya kiungwana ukimuomba radhi ili maisha yaendelee.

Kwenye hili Chama na Mwakalebela wote wamekanusha kuwepo kwa mazungumzo ya aina yoyote. Sasa ingekuwa weledi Kama Simba wangetoa ushahidi wa uwepo wa mazungumzo hayo kabla ya kulipeleka swala hilo TFF. Kufanya hivyo ni sawa na babu kumtania mjukuu wake kisha .mjukuu analia na kwenda kumshitaki babu yake kwa Mama yake kuwa babu amemuita mke wake wa pili.

Simba ama inaichezea au kuitumia TFF vibaya au wamekosa watu wenye weledi
sasa ushahidi unataka wakupe wewe??..wameenda kushtaki huko tff ndo watatoa ushahidi hukohuko sasa unataka wakupe wewe kama nani,we ndo tff???
 
Umedandia treni kwa mbele kitachofataa.....[emoji2]. Ni kwamba kupitia redio mwakalebela yeye alisema ameongea na chama na amehakikishiwa kuwa chama atasaini yanga msimu ukiisha. Baada ya maneno Yale simba wakaja juu na kusema watamshitaki mwakalebela TFF kwa kitendo cha kuongea na mchezaji wao ilihali angali na mkataba wa miaka miwili.

Baada ya kusikia hivyo, Mwakalebela akajitokeza na kuomba msamaha kwa kauli ile huku akisema kiukweli hakuongea na chama na aliongea hivyo katika utani tu kwa sababu simba na yanga ni watani. Na akaahidi kutorudia tena. Mchezaji alipoulizwa juu ya hilo akakanusha kuwa hajawahi ongea na mwakalebela,hata wakala wa mchezaji nae akakataa.

Pamoja na mwakalebela kuomba radhi na kuahidi kutorudia kosa la kusema hivyo japo hakuongea kweli na mchezaji au wakala, bado Simba wakampeleleka mwakalebela TFF. Mi nadhani walivyomjambisha tu hadi akaomba radhi ilitosha sasa walivyoenda tff ni kukosa ukomavu,na ninaamini Simba wao ndio wanaoongoza ktk mambo kama hayo, hivyo tutegemee visasi na Simba hawata survive ktk hili japo Mwakalebela atashinda kesibyake tena kiurahisi tu
atashinda kumbe...sawa tff tumekusikia
 
Timu huwa zina mashabiki wengi kuliko wanachama wenye kadi
 
Huu ni ushamba sijui shule mlienda kufanya nini.
Katika sentensi yoyote ambayo inaendelea huwa zinawekwa nukta tatu tu na si zaidi ya hapo.


Point yako kuu ni kwamba Mwakalebela atashinda kesi na si vinginevyo.
Simba ni kampuni ina wanasheria na viongozi makini kuliko club yoyote kwa sasa Tanzania haiwezi kuchukua maamuzi ya kishabiki au ya kukurupuka na kuyafanya kuwa rasmi haiwezekani.
.
Mwakalebela kauli yake ndio itakayo muhukumu hata kama itathibitishwa hakuzungumza nae, utani uliovuka mipaka ambao unakwenda kinyume na sheria za soka sio wakuvumilika.
Asante kwa elimu ya nukta japo umekuwa aggressive sana. Tukirudi kwenye hoja ni kwamba shitaka la simba ni kwamba wanamshitaki mwakalebela kwa matamshi yake kwamba aliongea Na Chama wakati chama bado ana mkataba nae simba jambo ambalo naona ni rahisi sana kuwa dissolved. Labda shitaka lingekuwa Hujuma dhidi ya Simba naona lingekuwa gumu kwa mwakalebela
 
Hakuna weledi kwenye mashitaka haya. Simba ingejiridhisha kwanza kama ni kweli Mwakalebela afanyefa mazungumzo na mchezaji wao kabla ya kufanya ilichokifanya.

Inaonekana Kama sehemu ya maumivu ya kupoteza ile mechi. Aliyewashauri kulipeleka hili shauri TFF hata baada ya Mwakalebela kuomba sahamani ni sehemu ya tatizo lililoko Simba kwa Sasa, amini maneno yangu. Bado haamini kuwa Simba ilifungwa mbele ya Marais 3 na tajiri wao.

To me there should be a step before a step.
Mtu mwenyewe anayewashauri hata kuona mpira uwanjani haoni .yye anabwabwaja tu. Hadija manara hamnazo mle. Tapeli la kariakoo na LUMUMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mwenyewe anayewashauri hata kuona mpira uwanjani haoni .yye anabwabwaja tu. Hadija manara hamnazo mle. Tapeli la kariakoo na LUMUMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba kumejaa watu wengi wanaosemasema hovyo. Kuna watu Simba walisema Aston Villa kuna hela zao Simba waende wakazichukue. Na mtu huyo hakuchukuliwa hatua kwa kusema uwongo
 
Mtu mwenyewe anayewashauri hata kuona mpira uwanjani haoni .yye anabwabwaja tu. Hadija manara hamnazo mle. Tapeli la kariakoo na LUMUMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliwaaminisha wenke kuwa Simba itamfunga Yanga ima fa ima hadi wakamleta Rais wa CAF kuiona mechi hiyo. Hasira ya hivi inatafuta pa kutokea
 
Hakuna weledi kwenye mashitaka haya. Simba ingejiridhisha kwanza kama ni kweli Mwakalebela afanyefa mazungumzo na mchezaji wao kabla ya kufanya ilichokifanya.

Inaonekana Kama sehemu ya maumivu ya kupoteza ile mechi. Aliyewashauri kulipeleka hili shauri TFF hata baada ya Mwakalebela kuomba sahamani ni sehemu ya tatizo lililoko Simba kwa Sasa, amini maneno yangu. Bado haamini kuwa Simba ilifungwa mbele ya Marais 3 na tajiri wao.

To me there should be a step before a step.
Mkuu kufungwa tena baada ya kubebwa mechi ya kwanza kwa kupewa penalty nje ya 18 inauma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kufungwa tena baada ya kubebwa mechi ya kwanza kwa kupewa penalty nje ya 18 inauma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaidi ile mechi ndo iliyokuwa mechi ya finali kwa mashindano ya VPL msimu huu, mhindi alipewa zawadi ya sh. 200,000,000. Sijui aliyeandandaliwa kutwaa kombe atapewa shilingi ngapi na TFF
 
Back
Top Bottom