Simba yafanya kufuru

Simba yafanya kufuru

Kyawanjubu

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
2,452
Reaction score
2,197
b2a644ff2ec0ac22c89d8c1622dc6421.jpg
 
Timu inaposhiriki michuano ya kimataifa au ligi kuu lazima iwe na wachezaji wengi na wenye uwezo mkubwa
 
Yanga bado itabaki kuwa yanga maana yanga si Niyonzima wala Ngoma maana ilikuwepo kabla hata hawajazaliwa
Yanga kuna asali gani kwa walimbwende wajameni??
maana naona wadada wengi ambao naona wanajitokeza kushabikia soka humu JF ni wanazi wa Yanga!
 
Hilo gazeti litakuwa limeuza sana mitaa ya msimbazi. Kwani ndio mitaa washabiki wanasubiria point kutoka fifa
 
Back
Top Bottom