Kyawanjubu JF-Expert Member Joined May 13, 2017 Posts 2,452 Reaction score 2,197 Jun 23, 2017 Thread starter #21 kikizo20 said: Sajilini kwa lengo pila la mechi za kimataifa Click to expand... Ndo maana tnamchukua ngoma
kikizo20 said: Sajilini kwa lengo pila la mechi za kimataifa Click to expand... Ndo maana tnamchukua ngoma
Twamo JF-Expert Member Joined May 27, 2017 Posts 2,884 Reaction score 5,016 Jun 23, 2017 #22 Kyawanjubu said: Ndo maana tnamchukua ngoma Click to expand... Simba watu wa ajabu! Walikuwa wanatokwa na povu humu wakidai wachezaji wa Yanga wazee, ajabu sasa hivi ndio limekuwa kimbilio lao! Jambo wasilolijua simba ni kwamba wananunua matatizo Okwi, Niyonzima na huyo Ngoma (kama ni kweli) ni matoto deko!
Kyawanjubu said: Ndo maana tnamchukua ngoma Click to expand... Simba watu wa ajabu! Walikuwa wanatokwa na povu humu wakidai wachezaji wa Yanga wazee, ajabu sasa hivi ndio limekuwa kimbilio lao! Jambo wasilolijua simba ni kwamba wananunua matatizo Okwi, Niyonzima na huyo Ngoma (kama ni kweli) ni matoto deko!
kenshi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 1,976 Reaction score 1,968 Jun 23, 2017 #23 Kyawanjubu said: Povu Click to expand... Tatizo mnajengewa imani mna timu yenye ushindani kupitia vyombo vya habari.
Kyawanjubu said: Povu Click to expand... Tatizo mnajengewa imani mna timu yenye ushindani kupitia vyombo vya habari.
liwaya JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 2,384 Reaction score 1,648 Jun 23, 2017 #24 Ipi kufuru sasa