Simba yafanya kufuru

Simba yafanya kufuru

Ndo maana tnamchukua ngoma
Simba watu wa ajabu! Walikuwa wanatokwa na povu humu wakidai wachezaji wa Yanga wazee, ajabu sasa hivi ndio limekuwa kimbilio lao! Jambo wasilolijua simba ni kwamba wananunua matatizo Okwi, Niyonzima na huyo Ngoma (kama ni kweli) ni matoto deko!
 
Back
Top Bottom