Simba yafungwa

mansoorsaid

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2014
Posts
1,498
Reaction score
286
habari za kufungwa kwa simba leo na timu ya jomo cosmos 2 0 huko bondeni kwa madiba naona wanaelekea pazuri
 
Wamepunguza magoli toka 4_2. Mechi na yanga watafungwa 2_1. Simba inazidi kuimarika.
 
mansoorsaid, bato na Shyland; kwani ni kipi cha ajabu!!! hizo trial-match, matokeo ya aina yoyote yale yanamweka kocha katika mazingira mazuri ya kupanga mipango inaapongika ili kuibuka na ushindi kwenye VPL.
 
wameimprove kutoka sare hd kufungwa!
 
Haya jamani. Ila kumbukeni mwenzako akinyolewa wewe zako...... Hiyo itarudi tu...
 
mansoorsaid, bato na Shyland; kwani ni kipi cha ajabu!!! hizo trial-match, matokeo ya aina yoyote yale yanamweka kocha katika mazingira mazuri ya kupanga mipango inaapongika ili kuibuka na ushindi kwenye VPL.
Timu yenu mbovu mkuu PrN-Kazi,
Usajili mlifanya kisiasa sana ndo maana mkamwacha musoti mkamsajili okwi eti kisa kuikomoa yanga!! kwa simba ile jinsi ilivyo hata mkienda trial ulaya mkirudi ni vipigo tu...
 
mansoorsaid, bato na Shyland; kwani ni kipi cha ajabu!!! hizo trial-match, matokeo ya aina yoyote yale yanamweka kocha katika mazingira mazuri ya kupanga mipango inaapongika ili kuibuka na ushindi kwenye VPL.
Umewahi kuwa mwalimu/mwanafunzi? Ungejisikiaje iwapo wanafunzi wako, au mwenyewe ukiwa ndiye mwanafuzi, kufeli mock/trial exam wakati ukijiandaa kwa Mtihani wa Taifa?
 
1. Haya matokeo ya SA hayatuchanganyi kabisa.
2. Tarehe 18 kipigo kipo palepale.
3. Mtaa wa 2 mjiandae kukubali matokeo.
 
nilimsikia hanspope akihojiwa redio one akasema simba imetoka sare ya 2-2 alipoulizwa wafungaji kwa upande wa simba akawa mkali..kuuuuuumbe simba amekali 2-0
 
Timu yenu mbovu mkuu PrN-Kazi,
Usajili mlifanya kisiasa sana ndo maana mkamwacha musoti mkamsajili okwi eti kisa kuikomoa yanga!! kwa simba ile jinsi ilivyo hata mkienda trial ulaya mkirudi ni vipigo tu...

kwa hiyo hujaona impact ya Okwi kwenye timu? Mabao aliyofungwa Simba hata angekuwepo Mosoti yangefungwa tu. After all anayecheza nafasi ya Mosoti anajitahidi sana kwa lengo ni kukuza vipaji so kung'ang'ania maveteran.OVER
 
kwa hiyo hujaona impact ya Okwi kwenye timu? Mabao aliyofungwa Simba hata angekuwepo Mosoti yangefungwa tu. After all anayecheza nafasi ya Mosoti anajitahidi sana kwa lengo ni kukuza vipaji so kung'ang'ania maveteran.OVER
Sio kweli mkuu BBA,
Kama ungekuwa mfuatiliaji wa game za simba msimu huu tangu ligi imeanza wala usingesema hivo, timu ya simba imekuwa ikicheza vizuri kuanzia sehemu ya kiungo hadi foward lakini sehemu ya defance bado sana haijacheza kitimu, na kutokana na kuwa na beki mbovu ndo kinachosababisha wapinzani kurudisha magoli kirahisi mno...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…