mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
habari za kufungwa kwa simba leo na timu ya jomo cosmos 2 0 huko bondeni kwa madiba naona wanaelekea pazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba nayo ni timu
Simba Sports club...timu ya mpira liki kuu Tanganyika heheheheheh
Timu yenu mbovu mkuu PrN-Kazi,mansoorsaid, bato na Shyland; kwani ni kipi cha ajabu!!! hizo trial-match, matokeo ya aina yoyote yale yanamweka kocha katika mazingira mazuri ya kupanga mipango inaapongika ili kuibuka na ushindi kwenye VPL.
Umewahi kuwa mwalimu/mwanafunzi? Ungejisikiaje iwapo wanafunzi wako, au mwenyewe ukiwa ndiye mwanafuzi, kufeli mock/trial exam wakati ukijiandaa kwa Mtihani wa Taifa?mansoorsaid, bato na Shyland; kwani ni kipi cha ajabu!!! hizo trial-match, matokeo ya aina yoyote yale yanamweka kocha katika mazingira mazuri ya kupanga mipango inaapongika ili kuibuka na ushindi kwenye VPL.
Timu yenu mbovu mkuu PrN-Kazi,
Usajili mlifanya kisiasa sana ndo maana mkamwacha musoti mkamsajili okwi eti kisa kuikomoa yanga!! kwa simba ile jinsi ilivyo hata mkienda trial ulaya mkirudi ni vipigo tu...
Sio kweli mkuu BBA,kwa hiyo hujaona impact ya Okwi kwenye timu? Mabao aliyofungwa Simba hata angekuwepo Mosoti yangefungwa tu. After all anayecheza nafasi ya Mosoti anajitahidi sana kwa lengo ni kukuza vipaji so kung'ang'ania maveteran.OVER