Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Leo Novemba 19, 2023 klabu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Dar City na kuibuka na ushindi wa 4-0 huku Leandre Essomba Onana akiwa miongoni mwa wafungaji.
FT: SIMBA SC 4-0 DAR CITY
[emoji460] Che Malone
[emoji460] Willy Onana
[emoji460] Israel Mwenda
[emoji460] Mosses Phiri
Wekundu wa Msimbazi wanaendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa Novemba 25, 2023 saa 10:00 jioni.
NB ....Simba gari limewaka 5__1 tunakuja ku revenge
#KitengeSports
FT: SIMBA SC 4-0 DAR CITY
[emoji460] Che Malone
[emoji460] Willy Onana
[emoji460] Israel Mwenda
[emoji460] Mosses Phiri
Wekundu wa Msimbazi wanaendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa Novemba 25, 2023 saa 10:00 jioni.
NB ....Simba gari limewaka 5__1 tunakuja ku revenge
#KitengeSports