Simba yajipima na Ismailia jioni nchini Misri

Simba yajipima na Ismailia jioni nchini Misri

ZionGate

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
6,362
Reaction score
2,991
Mchezo uliomalizika jioni hii Kati ya Simba na Ismailia umeishia sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa pre-season kwa Simba. Bao la Simba lilifungwa na Augustine Okrah.
Simba nguvu moja, wale wa matombo wasio na nauli safari inaanza kesho kwa miguu hamna passport wala visa.
 
Huyu Okrah seriously atawatoa watu utumbo, jamaa ana confidence muda wote anatabasamu tu, hana pressure sijui ya ligi mpya au kuzoea mazingira..

Huko Misri ana siku mbili tu ameshawanyoosha wenyeji, sasa akirudi huku akakaa wiki akienda uwanjani siku hiyo atalia mtu...

Angalizo tu/ Onyo:

Okrah kwa kipaji alichonacho usimkamie, ndio atakuvunja nyonga, mbavu, na uti wa mgongo kwa pamoja, kwasababu ukimkamia utamfanya atumie akili kubwa zaidi itakuwa na madhara ya muda mrefu kwako mpinzani.
 
Wale wenye deni Uturuki mtafute mchezaji mwingine wa kukopa huyu Okrah atawatoa mavi
 
Hii timu si imecheza jana mechi ya ligi ya Misri wandugu? Au Mimi ndio sielewi
Screenshot_20220717-212047.jpg
 
Mchezo uliomalizika jioni hii Kati ya Simba na Ismailia umeishia sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa pre-season kwa Simba. Bao la Simba lilifungwa na Augustine Okrah.
Simba nguvu moja, wale wa matombo wasio na nauli safari inaanza kesho kwa miguu hamna passport wala visa.
Acheni uongo
 
Huyu Okrah seriously atawatoa watu utumbo, jamaa ana confidence muda wote anatabasamu tu, hana pressure sijui ya ligi mpya au kuzoea mazingira..

Huko Misri ana siku mbili tu ameshawanyoosha wenyeji, sasa akirudi huku akakaa wiki akienda uwanjani siku hiyo atalia mtu...

Angalizo tu/ Onyo:

Okrah kwa kipaji alichonacho usimkamie, ndio atakuvunja nyonga, mbavu, na uti wa mgongo kwa pamoja, kwasababu ukimkamia utamfanya atumie akili kubwa zaidi itakuwa na madhara ya muda mrefu kwako mpinzani.
Waelezeee waelezeee.
[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Yanga wamecheza na moro kids wameshinda tano magoli yote kafunga funguo.
 
Back
Top Bottom