Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie si ndio mlikuwa mnajivunia kuwa ndio mabingwa wa kihistoria wa hilo Kombe, sasa hivi limekuwa kombe la mbuzi
Ni Kiswahili sanifu hakuna unyanyapaa hapo.Acha kunyanyapaa wewe
Ni Kiswahili sanifu hakuna unyanyapaa hapo.
Umesikia ya Mo? Keshawekeza billion 12 hadi sasa. Mpeni timu awape chenji yenu
Usajili wa kawaida sana.sema simba ni next level endeleeni kushindana na lipuli.Acha tukajiandae kwa mwakani .Kwa ule usajili wa Yanga timu ya wananchi ulivyo wa akili kubwa hata ningekuwà mimi ndo uyo Magori ningejitoa
Mashindano ya huko mbele ni makubwa kuliko Kagame Cup,kwa msimu huu Simba ndo iliyocheza mechi nyingi zaidi ya timu yoyote Africa, imecheza mechi zaidi ya 60,wachezaji wanahitaji kupunzika ,kupata maandalizi na kujioanga upya
Ni sawa. Pia usisahau kwamba albino si Kiswahili. Labda siku hizi limekuwa. Sina uhakika. Kiswahili chake ni Zeruzeru. Si tusi na halina ukakasi.Maneno mengi sanifu ya Kiswahili yapo lakini aghalabu huwa tunayakwepa kuyatumia kulingana na mazingira e.g kuzaa (sanifu) lakini kwa binadamu tunaita kujifungua nk,nk
Kilomonni keshashinda. Mo anadai ametumia billion 12 hadi wakati huu. Katika zile 20 wajue bado billion 8 tu.Naona kilomoni anaelekea kushinda
simba pale hakuna uwekezaji ni ubabaishaji tuKilomonni keshashinda. Mo anadai ametumia billion 12 hadi wakati huu. Katika zile 20 wajue bado billion 8 tu.
Ni mashindano mazuri ila hayana sababu ya kuvuruga ratiba yetu... Tuache kwenda Portugal eti twende kwa Musonye?Nyie si ndio mlikuwa mnajivunia kuwa ndio mabingwa wa kihistoria wa hilo Kombe, sasa hivi limekuwa kombe la mbuzi
Acha tukajianďae mwakan tusīchapwe na mashujaa, green warriors na kagera sugarUsajili wa kawaida sana.sema simba ni next level endeleeni kushindana na lipuli.Acha tukajiandae kwa mwakani .
Wakumbuke pia kuna sportpesa cup je watajitoa?
Kimenuka huko. Mzee Kilomoni kawashika pabaya.Mikia wameikimbia Yanga
Yanga hii iliyotufuata?Wameikimbia Yanga tu hao na kula mkono wa As Vita Club
Mke kamfuata mme nayeMikia wameikimbia Yanga
Na nyie kilichowakimbiza ni kipi?Wameikimbia Yanga tu hao na kula mkono wa As Vita Club