Simba yakataa kucheza na Yanga, kisa ni waamuzi. Yataka waamuzi wa nje

Ndio kabisa... tumechoka na magoli yao ya mikono kutoka kwa mkodisho FC
 
Mechi za simba na yanga, simba na prisons pamoja na simba na African Lyon zichezeshwe na waamuzi toka South Africa
Acha nawewe kuquote habari ndefu unachosha wanaotumia simu,we vipi..Kuhusu Simba wawe na msimamo kabisa maana tumechoka kuonewa na marefa wa Mal inzi.Wawe na meno ila kutishia kugomea mechi itawagharimu kwa kweli.Ila kila mwenye ufahamu anaona tunaonewa,hasa kwa siku za karibuni
 
Ukitaka kuchezeshwa na marefa wa nje kuwa bingwa watakuja hao marefa wa nje
 
Simba wana hoja ya msingi! Kwann TFF hawataki waamuzi bora kutoka sehemu yoyote duniani wachezeshe mechi za Simba na Yanga?

Ni dhahiri kuwa waamuzi wengi wa ndani wamezishindwa hizi mechi kwa kuwa zimeonekana kuwa kubwa kuliko uwezo wao au mahaba binafsi lkn kubwa zaidi inaweza kuwa rushwa. Hatuhitaji kuona aina ya uvunjifu wa amani kama wa October 1.
 
HIVI HUYU HAJI MANARA ANA ELIMU GANI?
MAGUFULI AKIACHA KUWATEUA, MANENO KIBAOO!! KUMBE IQ ISSUE!!
Hajui ligi ni zaidi ya Simba na Yanga?

HAFAHAMU KUWA REFA KUTOKA NJE YA NCHI NDIO RAHISI KUNULIKA KULIKO WA NDANI? HUYU HAWAJIBISHWI NA TFF.
PIA SHERIA ZA FIFA HAZITAMBUI LIGI YA NDANI YA NCHI KUCHEZESHWA NA REFA WA NCHI NYINGINE.

HII MBEGE ALIYO KUNYWA HUYU JAMAA INA MMALIZA IQ.
 
Mvua zimenyesha bwawa la samaki huko jangwani linakwenda na maji. Msaada wa mafuriko unahitajika sana.Vyura ndio usiseme mpaka barabarani.
 
Hamna lolote hao wameona timu yao kwa sasa ni mbovu haina uwezo wa kucheza na yanga, simba inatakiwa wajitathmini upya kuanzia management yao hadi technical bench kuna mahali huwa wanakosea kila mwaka wanaishia kulalamika kama suruhisho ni kumpa timu MO wakubaliane na wampe kuliko kutoa visingizio vya kuonewa na Malinzi
 
Najua Yanga kwa vile wamelewa na kubebwa ... wapo tayari simba isitokee uwanjani .
Na simba bora kugoma , mechi ya goli la mkono ilidhihirisha yeboyebo wanabebwa.
 
Huyo manara aache upumbavu inamaana huwa wanaonewa kwenye mechi za yanga pekee? kama kuna mechi nyingine pia huwa wanaonewa kwanini asiombe waamuzi wote wa ligi watoke nje ya nchi? Tatizo pale msimbazi uongozi umeajiri watu wa majungu kuanzia katibu mkuu hadi huyo msemaji. Binafsi ni mshabiki wa villa squad msijesema ni waupande ule kutokana na maoni yangu.
 
Kila siku watu mnalalamika na mitimu mibovu mara simva ooo yanga; azamu, hamna kaz za kufanya, hakuna mchezaji wala timu nzuri tanzania, mbona hao mnaowasifia wakikutanishwa pamoja timu ya taifa inakula za uso, kuna uzuri gani hapo, achen kutuandikia upumbavu humu mnashusha hadhi zenu
 
manara wewe ni mbu mbu mbu. tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuazima marefa eti kisa kuogopa hujuma. vere fakeni
 
Swali la mtu ambaye hajawahi angalia mpira tangu kuzaliwa kama mimi. Hivi timu za ndani ya nchi zinaruhusiwa kuwa na refa toka nje? Wakikodi refa inabidi aje na washika vibendera wake nao hao watoke nchi tofauti ili wasipange matokeo. Sasa kwa hali ya sasa ya Whatsup, skype, fb kweli Simba itaweza? Mchukue refa toka Dodoma anaitwa Mnyora Chief yule ni kiboko wa wizi. Mwanamke wa shoka atachezesha na hakuna uongo. Chukua marefa wanawake tuu Simba. Ila mimi wakati nipo hai nilishabikia Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…