Simba yakataa kucheza na Yanga, kisa ni waamuzi. Yataka waamuzi wa nje

Defense mechanism... Ni uoga tu na Kutengeneza mazingira ya kulalamika Kuwa wanaonewa kesho wakifungwa. Viongozi wa Simba walifaa sana wawe viongozi wa Twiga stars, maana kulia lia kumezidi kama wa**KE. Ligi nzma nawasikia Simba tuuu wakilalamika kuonewa.. Wamecheza na stand United pale shy, mavugo akajirusha sarakasi, ikafunikwa wala sijasikia wakisema wanataka refa atoke nje kati ya mechi yao na stand.... Hawakubali matokeo ya kufungwa hawa jamaa,.. Mechi 2 za mwisho wamelia Kuwa Yanga inawahujumu, sasa Yanga aliyepoteza michezo 2 kahujumiwa na Simba? Uongozi haukubali makosa kwa mashabiki wao wanapokosea, hujivua na kusingizia Yanga, na mashabiki wa Simba kwakua ni mambumbumbu hawasomi alama za nyakati. Hiyo ndo mikia bhana.
 
Kama sheria inaruhusu ni sawa
Ila gharama zilipwe na TFF na sio wao
Simba inajaalia kwamba marefa wa kutoka nje ya nchi watakuwa ni waadilifu upande wao. Je ikitokezea hata hao kuboronga kwa uoni wa Simba, itakimbilia wapi? Je TFF itakuwa na uwezo wa kumwita, kumhoji, kumwadhibu ama kumwajibisha refa iliyemkodi nje ya nchi kuja kuchezesha Ligi yetu? Kama haitawezekana, timu zitajengaje imani ya kutendewa haki ikiwa hakuna namna ya kumdhibiti mwamuzi baada ya mchezo?
 
Wa akili

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Jamani msemaji wa mikia fc asilaumiwe sana.

Mtu anapokuwa na ulemavu fulani huwa hauishii sehemu moja tu mfano unaweza kuwa mlemavu wa miguu na kisha mikono pia, unaweza kuwa mlemavu wa usikivu na ulemavu wa kuzungumza pia vivyo hivyo unaweza kuwa mlemavu wa ngozi ukawa mlemavu wa akili pia.

Msemaji huyo asilaumiwe sana, hata yeye hakupenda awe hivyo alivyo leo.

Ushauri wa bure ni kuwa mikia fc wampunguzie majukumu.
 
Kwa taarifa yako Manara ni kua huyo refa wa nje ndo rahisi kweli kuhongeka, kwani baada ya mechi huyoo air port, bora wa hapa ataogopa kulala kwake wiki nzima. Dawa msije tu uanjani mshuke daraja
 
Huyu katibu wa BMT nashauri afungwe miaka mitano jela kwa matumizi mabaya ya ofisi na kauli zinazokera
 
Simba aibu. Hao marefa wakiwachezesha na Majimaji wanakubali; ila wakiwachezesha na Yanga hawawataki. Afrika bwana.
 
sawa basi kukata mzizi wa fitina refa atakua aveva na tutawafunga tuuu...kumbuken tutachezea uhuru kama bado mna ajenda yenu ya kuharibu viti mmechemsha maana tumechoka na nyie..simba gani anakuwa muoga hivi?
Ni pusi huyo siyo simba ninaemfahamu
 
Sijui wanakula maharage ya wapi hawa mbumbumbu fc!!!? Au waifute timu kabisa na wasijishughulishe na mpira kama alivyofanya mwenzao Julio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…