Simba yamaliza msimu kwa unbeaten record ya mechi 21

Simba yamaliza msimu kwa unbeaten record ya mechi 21

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kutokana na propaganda zilizoenezwa na zilizodumu msimu mzima, ni rahisi sana kuamini Simba wamekuwa timu ya hovyo na rekodi ya hovyo sana msimu huu.

Nilishawahi kuleta uzi nikikumbushia Simba ndiyo timu iliyofungwa mechi chache msimu huu kuliko zote (mechi moja tu) na hadi msimu unamalizika leo hii bado ameshikilia rekodi hiyo. Kuna rekodi nyingine nyingi za timu na za mchezaji mmoja mmoja zinazodhihirisha kuwa performance ya timu ilikuwa juu sana pamoja na kuzidiwa pointi na Yanga.

Leo nakumbushia tu kuwa hadi msimu unapoisha siku ya leo, Simba wanamaliza msimu wakiwa na unbeaten record ya mechi 21, yaani hawajafungwa kwa mechi 21 mfululizo. Hii siyo rekodi ya kubeza hata kidogo. Simba wataiendeleza hii rekodi hadi wapi msimu ujao?

Namalizia tu kwa kusema TFF wafanye juhudi za makusudi kuongeza ushindani katika ligi. Kuna gape kubwa sana kati ya timu 3 za juu na karibia nusu zilizoko chini. Ukitaka kujua hilo, wakati ligi ilipokuwa inaelekea ukingoni, karibia nusu ya timu zilikuwa ziko kwenye hatari ya kushuka daraja wakati Simba na Yanga wanajivunia hizi rekodi za unbeaten. Hili haliko sawa.

Ningependa kuona tunafika wakati ligi ikiwa inapata Bingwa, awe amefungwa mechi hata 4.
 
Taarifa kwa umma
1686339632267.jpg
 
Kutokana na propaganda zilizoenezwa na zilizodumu msimu mzima, ni rahisi sana kuamini Simba wamekuwa timu ya hovyo na rekodi ya hovyo sana msimu huu.

Nilishawahi kuleta uzi nikikumbushia Simba ndiyo timu iliyofungwa mechi chache msimu huu kuliko zote (mechi moja tu) na hadi msimu unamalizika leo hii bado ameshikilia rekodi hiyo. Kuna rekodi nyingine nyingi za timu na za mchezaji mmoja mmoja zinazodhihirisha kuwa performance ya timu ilikuwa juu sana pamoja na kuzidiwa pointi na Yanga.

Leo nakumbushia tu kuwa hadi msimu unapoisha siku ya leo, Simba wanamaliza msimu wakiwa na unbeaten record ya mechi 21, yaani hawajafungwa kwa mechi 21 mfululizo. Hii siyo rekodi ya kubeza hata kidogo. Simba wataiendeleza hii rekodi hadi wapi msimu ujao?

Namalizia tu kwa kusema TFF wafanye juhudi za makusudi kuongeza ushindani katika ligi. Kuna gape kubwa sana kati ya timu 3 za juu na karibia nusu zilizoko chini. Ukitaka kujua hilo, wakati ligi ilipokuwa inaelekea ukingoni, karibia nusu ya timu zilikuwa ziko kwenye hatari ya kushuka daraja wakati Simba na Yanga wanajivunia hizi rekodi za unbeaten. Hili haliko sawa.

Ningependa kuona wakati ligi ikiwa inapata Bingwa, awe amefungwa mechi hata 4.
Yanga FC ilishapata unbeaten run 58 na ubingwa juu wa ligi kuu, FA n.k 2022, Makolokolo mtapata tabu sana kwa kuhamisha hamisha malengo ya kwenda kuzurura uarabuni na kujuta milele [emoji23]

Miaka hii 2022 & 2023 Mtajiuliza kwanini michicha huota lakini haikoromi [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.
Hizo sare unazosema nadhani ni za mzunguko wa kwanza, hii unbeaten record haina sare kihivyo, nyingi ni ushindi. Nikipata muda nitapitia kujua sare ziko ngapi.

Nafikiri rekodi za Yanga zimefanya watu tudhani Simba na Yanga hawastahili kufungwa au hata kutoka sare na hizi timu zingine. Ndiyo maana nilimaliza post yangu hapo juu kwa kusema inabidi tufike wakati Bingwa awe amefungwa wastani wa mechi 3 hadi 4, hapo kidogo tutasema ligi ina ushindani.

Hizi rekodi za unbeaten inabidi zitokee mara moja baada ya misimu mingi badala ya sasa kila msimu timu zinakuwa na rekodi za unbeaten tena ni timu zilezile. Tukiongeza ushindani katika ligi, timu kutoka sare inakuwa siyo mwisho wa dunia.
 
Hizo sare unazosema nadhani ni za mzunguko wa kwanza, hii unbeaten record haina sare kihivyo, nyingi ni ushindi. Nikipata muda nitapitia kujua sare ziko ngapi.

Nafikiri rekodi za Yanga zimefanya watu tudhani Simba na Yanga hawastahili kufungwa au hata kutoka sare na hizi timu zingine. Ndiyo maana nilimaliza post yangu hapo juu kwa kusema inabidi tufike wakati Bingwa awe amefungwa wastani wa mechi 3 hadi 4, hapo kidogo tutasema ligi ina ushindani.

Hizi rekodi za unbeaten inabidi zitokee mara moja baada ya misimu mingi badala ya sasa kila msimu timu zinakuwa na rekodi za unbeaten tena ni timu zilezile. Tukiongeza ushindani katika ligi, timu kutoka sare inakuwa siyo mwisho wa dunia.
Mzunguko wa pili tumepata sare 3

Dhidi ya Azam, Namungo na ile ya Kagera

Msimu wa kwanza tumepata sare dhidi ya

Mbeya City, Singida, Gongowazi na KMC

Tuna jumla ya sare 7

Hapana sio kama tunasema hizi timu hazistahili kufungwa, ishu ni timu kucheza vibaya yani unaona wapinzani wananufaika kupitia ubovu wako, na sio uwezo wao.

Mechi na KMC sisi tulishangilia sare, wachezaji walikuwa hawajitumi, KMC tena wako kwa Mkapa aiseeeee.
 
Mzunguko wa pili tumepata sare 3

Dhidi ya Azam, Namungo na ile ya Kagera

Msimu wa kwanza tumepata sare dhidi ya

Mbeya City, Singida, Gongowazi na KMC

Tuna jumla ya sare 7

Hapana sio kama tunasema hizi timu hazistahili kufungwa, ishu ni timu kucheza vibaya yani unaona wapinzani wananufaika kupitia ubovu wako, na sio uwezo wao.

Mechi na KMC sisi tulishangilia sare, wachezaji walikuwa hawajitumi, KMC tena wako kwa Mkapa aiseeeee.
Kwa hiyo ukiangalia utaona katika hizo mechi 21, sare zipo 5, ushindi 16. Naelewa unaposema mazingira ya kupata hizo sare hayaridhishi ila mimi kikubwa ninachoona kwenye mzunguko wa pili ni advantage ambayo Yanga walikuwa nayo kucheza siku moja baada ya Simba. Ratiba ya mzunguko wa pili iliwabeba sana Yanga, Simba wasingeweza kuwafikia Yanga kwa ratiba ya namna hiyo.

Pia katika ile unbeaten ya 49 ya Yanga ambayo waliprint hadi t-shirts walikuwa na sare 12.
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.
Huu ni uchambuzi si ushabiki. Nakushauri uwe unaanzisha nyuzi zako ambazo zinaweza kuchangiwa na Wenye kujua soka kama wewe. Sisi wengine tunabebwa na upenzi tunasahau uhalisia.
 
Kwa hiyo ukiangalia utaona katika hizo mechi 21, sare zipo 5, ushindi 16. Naelewa unaposema mazingira ya kupata hizo sare hayaridhishi ila mimi kikubwa ninachoona kwenye mzunguko wa pili ni advantage ambayo Yanga walikuwa nayo kucheza siku moja baada ya Simba. Ratiba ya mzunguko wa pili iliwabeba sana Yanga, Simba wasingeweza kuwafikia Yanga kwa ratiba ya namna hiyo.
Duh
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.
As always, huwa ukiamua kuweka pembeni unazi (ambao huwa unauvaa kwa makusudi ile wengine wasiwaone wanyonge), huwa upo logical na constructive sana.
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.
Hapa hauja vuta ugoro
 
Kwa hiyo ukiangalia utaona katika hizo mechi 21, sare zipo 5, ushindi 16. Naelewa unaposema mazingira ya kupata hizo sare hayaridhishi ila mimi kikubwa ninachoona kwenye mzunguko wa pili ni advantage ambayo Yanga walikuwa nayo kucheza siku moja baada ya Simba. Ratiba ya mzunguko wa pili iliwabeba sana Yanga, Simba wasingeweza kuwafikia Yanga kwa ratiba ya namna hiyo.
Hakuna mechi ambayo Simba walicheza siku moja baada ya Yanga na ikaisha kwa sare au kufungwa? Na je hakuna mechi ambayo Yanga amecheza baada ya siku moja na imeisha kwa sare au kufungwa?
 
Back
Top Bottom