Simba yamaliza msimu kwa unbeaten record ya mechi 21

Simba yamaliza msimu kwa unbeaten record ya mechi 21

Hakuna mechi ambayo Simba walicheza siku moja baada ya Yanga na ikaisha kwa sare au kufungwa? Na je hakuna mechi ambayo Yanga amecheza baada ya siku moja na imeisha kwa sare au kufungwa?
Unapokuwa unafanya analysis ya jambo, hauchukui scenario moja ndiyo ukaitumia kama conclusion maana hiyo inakuwa ni outlier au rare case badala yake general conclusion inachukua scenario zilizojirudia mara nyingi zaidi.

Baada ya kusema hayo, rudi utafute rekodi za ratiba zao duru la pili na matokeo yao utuletee ili tuyachambue pamoja.
 
Hapa hauja vuta ugoro
20230610_101157.jpg
 
Unapokuwa unafanya analysis ya jambo, hauchukui scenario moja ndiyo ukaitumia kama conclusion maana hiyo inakuwa ni outlier au rare case badala yake general conclusion inachukua scenario zilizojirudia mara nyingi zaidi.

Baada ya kusema hayo, rudi utafute rekodi za ratiba zao duru la pili na matokeo yao utuletee ili tuyachambue pamoja.
Mta tafta sababu nyingi zisizo na maana, fanyeni usajiri sio maneno mengi! basi kama msimu huu mpo vizuri tulieni hivyo hivyo next season tutarudi hapa
 
Simba hatujapoteza mechi ila performance yetu ilikuwa yakusuasua sana hilo lazima tuliweke wazi.

Hata hizo mechi za unbeaten kuna sare nyingi ambazo hazikuwa za lazima.

Mechi na Singida tukiwa away unaweza ukaona tulivyonusurika kipigo, ule ndio msimu ambao Kibu alikuwa ametepeta to the fullest. Critics walikuwa wanakesha kutu mention kwenye kile kiuzi chao.

Angalia ile mechi na Mbeya City ambayo mchezaji mmoja alipigwa kadi nyekundu, walikuwa pengufu lakini sisi ndio tuliokuwa tunaomba mpira uishe.

Aishi Manula naye kuna sehemu anastahili kuambiwa ukweli aweze kubadilika, kuna magoli ya kizembe alifungwa ambayo yalisababisha kupunguza morale ya timu na kusababisha mechi iishe kwa matokeo tusio yahitaji

Mengineyo

Azam ajiweke fiti asiwe ni mtu wa kugombania nafasi ya pili kila msimu.

Ndio maana mimi huwa natofautiana na baadhi ya mashabiki wanaoosema Simba haisajili kwasababu ya ubahili.

Yusuphu Bakhressa msimu huu ulioisha alisema "sasa nimeamua" alitoa pesa nyingi lakini ndio hivyo msimu umeisha akiwa anagombaniana nafasi ya tatu na Singida.

Natamani Azam waoneshe utofauti kwa kujilipua waje na nguvu kubwa ya kiushindani wakuweza kuonesha kuwa wanahitaji kuwa mabingwa na sio nafasi ya pili.

Malizia
Yanga Bingwa
 
Mta tafta sababu nyingi zisizo na maana, fanyeni usajiri sio maneno mengi! basi kama msimu huu mpo vizuri tulieni hivyo hivyo next season tutarudi hapa
Kila timu inafanya usajili, hilo haliko kwenye mjadala. Kelele ninazozisikia za watu wa kuachwa baadhi ni wachezaji waliokuwa tegemeo kina Kisinda, hilo unalizungumziaje?
 
Kwahiyo suala la kiatu tumeliacha sasa tumehamia unbeaten!!

Yanga bingwa.
 
Ukomile mumumo kalumbu, gwe lekaga itolo, nandile kukisyuka ikisu kya kukaja
Wadiz ni wa kiume nkamu, does it sound ladish or feminine?najua lugha yenu I lived there a huge sum of years like 15 years
 
Simba ni genge la wahuni kama ilivyo kwa TFF.

Mchezaji mmoja anafunga magoli 7 kwenye mechi 2 mfululizo za mwisho!

Hapa kuna upangaji wa matokeo, wahusika fanyeni kazi zenu
 
Back
Top Bottom