Simba yamsajili kiungo Babacar Sarr

Hivi kumbe wewe hata Google huwezi kuitumia kujiridhisha. Mitanzania ndivyo tulivyo. Everywhere faken
Jamaa yupo sahihi. Jamaa ni mbakaji wa miaka 33. Umeedit page yake ya wikipedia na kudanganya miaka.
 
Ukimfananisha na Sawadogo haumtendei haki. Mbona katokea Saudi Pro league? Unadhani kwenda kule ni jambo dogo?

Pia kabla ya hapo alikuwa Monasir. Ni kuingo mkabaji lakini yuko vyema kwenye shootings…
Aise kumbe mwamba anajua maana huwez kwenda said pro league kama hauna uwezo, angalau naanza kuwa na aman pale katikati,lakin vp unazan nan anaweza kuachwa ili kuwapa nafas maingzo mapya?
 
Aucho wakati anakuja Yanga Sc hakuwa mchezaji wa mnadani (free agent).?

Huyu sio wa mnadani kama Aucho.
Timu kubwa Afrika unavizia mzoga ulioachwa😅😅
 
Anabaka mashabiki na groupies
Wala hakuna jipya hapo. Hujui wachezaji wa Man city na Man U mastaa wakubwa walikumbwa na hayo hayo huko ulaya?

Pisi hata mkienda nayo ghetto ikifikia mahali ikisema “no”, we ukaendelea kupiga mzigo inachukuliwa umebaka?

Na wakati kwa waafrika aksema sitaki ndo kwanza mzuka unapanda.

Fuatilia kama hujui ujuwe.
 
Tumia akili Yako vizuri kupata habari mtandaoni
Wewe hiyo akili hata hauna. Ukijibu, jibu nilichoandika siyo utopolo. We vp

Ulicho quote hakiendani na ulichobandika.
 
Ivi ile ya sawadogo kufananishwa na mafisago iliishia wapi🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…