joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwa hiyo huyo mdogo wake Mzize?Bongo nyoso, kuna muda tulitaka kuaminishwa kuwa Mzize ni under 20.
Jamaa yupo sahihi. Jamaa ni mbakaji wa miaka 33. Umeedit page yake ya wikipedia na kudanganya miaka.Hivi kumbe wewe hata Google huwezi kuitumia kujiridhisha. Mitanzania ndivyo tulivyo. Everywhere faken
Aise kumbe mwamba anajua maana huwez kwenda said pro league kama hauna uwezo, angalau naanza kuwa na aman pale katikati,lakin vp unazan nan anaweza kuachwa ili kuwapa nafas maingzo mapya?Ukimfananisha na Sawadogo haumtendei haki. Mbona katokea Saudi Pro league? Unadhani kwenda kule ni jambo dogo?
Pia kabla ya hapo alikuwa Monasir. Ni kuingo mkabaji lakini yuko vyema kwenye shootings…
Subiri awabake na nyie.Jamaa yupo sahihi. Jamaa ni mbakaji wa miaka 33. Umeedit page yake ya wikipedia na kudanganya miaka.
Timu kubwa Afrika unavizia mzoga ulioachwa😅😅Aucho wakati anakuja Yanga Sc hakuwa mchezaji wa mnadani (free agent).?
Huyu sio wa mnadani kama Aucho.
Mbona useme Mzinze wakati mlikuwa na Babu mwenye miaka 28 onyangoBongo nyoso, kuna muda tulitaka kuaminishwa kuwa Mzize ni under 20.
Unaweza kuamini kwamba Mzize ana miaka 19?Kwa hiyo huyo mdogo wake Mzize?
Nitajie mchezaji yoyote wa nje hapo Yanga Sc mliyemnunua kwa kuvunja mkataba.Timu kubwa Afrika unavizia mzoga ulioachwa😅😅
Kama Mzize ana miaka 19, tutakataa vipi kuwa Onyango hakuwa na miaka 28 wakati anasajiliwa na Simba Sc?Mbona useme Mzinze wakati mlikuwa na Babu mwenye miaka 28 onyango
Azizi key, max, yao au niwndelee. Hawa sio lonyalonya km kina chalambaNitajie mchezaji yoyote wa nje hapo Yanga Sc mliyemnunua kwa kuvunja mkataba.
Kama Mzize ana miaka 19, tutakataa vipi kuwa Onyango hakuwa na miaka 28 wakati anasajiliwa na Simba Sc?
Anabaka mashabiki na groupiesSubiri awabake na nyie.
Unajuwa maana ya “allegedly”?
Wala hakuna jipya hapo. Hujui wachezaji wa Man city na Man U mastaa wakubwa walikumbwa na hayo hayo huko ulaya?Anabaka mashabiki na groupies
Tumia akili Yako vizuri kupata habari mtandaoniSubiri awabake na nyie.
Unajuwa maana ya “allegedly”?
Wewe hiyo akili hata hauna. Ukijibu, jibu nilichoandika siyo utopolo. We vpTumia akili Yako vizuri kupata habari mtandaoni
Utopolo mijinga mingiJamaa yupo sahihi. Jamaa ni mbakaji wa miaka 33. Umeedit page yake ya wikipedia na kudanganya miaka.
Sawa ina maana huyo Mzize kamzidi.....?Unaweza kuamini kwamba Mzize ana miaka 19?