sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Fei toto siyo mchezaji tishio kashindwa kujisaidia hata taifa stars.pale azam alidupiwa tu na simba ili kutuliza mawimbi lkn lengo lake lilikuwa kwenda kwa wekunduHabari nilizopata hivi punde. Klabu ya Simba imeanzisha mazungumzo rasmi na Azam FC ili kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Feisal Salum Fei Toto.
Japo kuvunja mkataba wa Fei pale Azam kuna vipengele vigumu lakini hakuna linaloshindikana. Na deal ikikamilika Fei atakuwa ndio mchezaji anaelipwa zaidi Tanzania.
Kwani huko shirikisho anaenda kucheza Ngoma?!Kutoka Champions League mpaka shirikisho? SIDHANI
Tena mbaya mno...ngoja tuonePanicking mode
Yaani huyo mchezaji atakuwa ana maji kichwani aiachie fursa ya kwenda kuonekana duniani kwenye champion African league aende kucheza shirikisho, (Best losers)Kutoka Champions League mpaka shirikisho? SIDHANI
Umesau Alitoka timu ilioykua inashiriki shirikisho kwa kiungaunga mpaka fainal nakwenda Azam iliyokua inashiriki NBC premier league,Kutoka Champions League mpaka shirikisho? SIDHANI
Hata mimi simshauri asubiri azeeke kwanza Simba sio sehemu yakushine kwa sasaKutoka Champions League mpaka shirikisho? SIDHANI
Voice of bamboKwani kuna shido?!
wana uwezo wa kuingia makundi?Yaani huyo mchezaji atakuwa ana maji kichwani aiachie fursa ya kwenda kuonekana duniani kwenye champion African league aende kucheza shirikisho, (Best losers)
Hakuna cha panik mzee, una hela? Au unalialia umaskini wako.tu hapa,, hela ndio inaongea kwenye mpira..ligi imekua hii, na wachezaji wanataka pesa pesapesa..timu zinweka pesa mezani ..Panicking mode
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fei toto siyo mchezaji tishio kashindwa kujisaidia hata taifa stars.pale azam alidupiwa tu na simba ili kutuliza mawimbi lkn lengo lake lilikuwa kwenda kwa wekundu
Acheni wenye hela wapigane vikumbo,, nyinyi mashabiki makapuku mbaki mkiongea porojo tu [emoji23][emoji23][emoji23] ..Tena mbaya mno...ngoja tuone
NB : mashabiki tunapozwa kiaina