Tetesi: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC

Tetesi: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC

Yaani huyo mchezaji atakuwa ana maji kichwani aiachie fursa ya kwenda kuonekana duniani kwenye champion African league aende kucheza shirikisho, (Best losers)
Amakweli shabiki andazi kapuku.
 
Kisa kuwarudi Yanga kwa kumsajili Clotus, huu ujinga ni Tz pekee

Na wakolo walivyo mbayuwayu watashangilia balaa!!

Naona wanajiuliza hata kwenda kukopa wakakope ili mradi kujaribu ku level score board na Yanga, hiyo pesa bora wangeenda duniani huko wangepata kiungo mzuri sana wa kuanza nae
Mbona nyie makapuku mmeshangilia ujio wa chama hadi mmeenda kuprint makaratasi na kwenda kuzunguka navyo mjini mnaonesha picha ya chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona nyie makapuku mmeshangilia ujio wa chama hadi mmeenda kuprint makaratasi na kwenda kuzunguka navyo mjini mnaonesha picha ya chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siko kwenye kundi la wajinga kiasi hicho
 
Kisa kuwarudi Yanga kwa kumsajili Clotus, huu ujinga ni Tz pekee

Na wakolo walivyo mbayuwayu watashangilia balaa!!

Naona wanajiuliza hata kwenda kukopa wakakope ili mradi kujaribu ku level score board na Yanga, hiyo pesa bora wangeenda duniani huko wangepata kiungo mzuri sana wa kuanza nae
Kweli wewe kichwa maji huyo Chama mmemtoa mbinguni? Hajatoka Simba? Vipi mlivyo kuwa mnamsema vibaya na kumuita eti konokono. Kaitumikia Simba tangu akiwa age ya 25 Sasa hivi 33 kunanini jipya? Fei na Chama nani mzee? Mbona wakati Fei anaondoka Utopolo mlikuwa mna Lilia. Nyie manyani tulizeni mshono angalieni Utopolo yenu.
 
Kisa kuwarudi Yanga kwa kumsajili Clotus, huu ujinga ni Tz pekee

Na wakolo walivyo mbayuwayu watashangilia balaa!!

Naona wanajiuliza hata kwenda kukopa wakakope ili mradi kujaribu ku level score board na Yanga, hiyo pesa bora wangeenda duniani huko wangepata kiungo mzuri sana wa kuanza nae
simba inamhitaji fei kuliko yanga walivyokua wanamhitaji chama yanga kwa sasa wana wat wanaoweza kucheza role number ten watatu pacome,cha na aziz,hata max pia amaweza cheza hio namba bado kuna tetesi za sowo na rasta wa kmc,..simba inahitaji best play maker wa kiwango hiko angalau baada ya chama kuondoka,simba inamhitaji mno fei kwa sasa.
 
Sema viongozi wa Simba wako vizuri kuyaseti haya mabogus yao😅😅, njia pekee yakutuliza hekahek ma hizi nikuzusha story mfu. Heko Mangungu...
 
Sema viongozi wa Simba wako vizuri kuyaseti haya mabogus yao[emoji28][emoji28], njia pekee yakutuliza hekahek ma hizi nikuzusha story mfu. Heko Mangungu...
Mbona nyie makapuku mmeshangilia ujio wa chama hadi mmeenda kuprint makaratasi na kwenda kuzunguka navyo mjini mnaonesha picha ya chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani huyo mchezaji atakuwa ana maji kichwani aiachie fursa ya kwenda kuonekana duniani kwenye champion African league aende kucheza shirikisho, (Best losers)
Kipindi anatoka yanga kwenda azam alikuwa anatoka champions league kwenda wapi??
Nyinyi hao wachezaji wenu walionekana huko duniani (champions league) nani kaenda huko duniani unakosema au wote ni wabovu?
 
Kutoka Champions League mpaka shirikisho? SIDHANI
Mbona Fei huyo huyo aliondoka Yanga ikiwa inaenda kushiriki champions league na akaenda azam ambao hawakuwa champions league kipi kitakuwa kitu cha ajabu kwa Fei?
 
Sema viongozi wa Simba wako vizuri kuyaseti haya mabogus yao😅😅, njia pekee yakutuliza hekahek ma hizi nikuzusha story mfu. Heko Mangungu...
Fei atacheza Simba, mazungumzo yamefika pazuri sana.
 
Mbona Fei huyo huyo aliondoka Yanga ikiwa inaenda kushiriki champions league na akaenda azam ambao hawakuwa champions league kipi kitakuwa kitu cha ajabu kwa Fei?
Hajitambui
 
Acheni wenye hela wapigane vikumbo,, nyinyi mashabiki makapuku mbaki mkiongea porojo tu [emoji23][emoji23][emoji23] ..
Nadhani nilikuambia na kukuahidi ukiona Mchezaji toka Uganda anasajiliwa tuonane,Mukwala huyoooo tayari , bado mmoja toka DRC
 
Back
Top Bottom