Soka letu ni la ajabu sana,tunapiga hatua moja mbele kisha tunarudi hatua 9 nyuma then tunakaa na kujipongeza.
Sasa si wangeendelea na fundi aliyekua akijenga?Watakuwa wamemaliza kujenga timu sasa wanataka kupiga bati...
Sasa si wangeendelea na fundi aliyekua akijenga?
yani huyu anakuja kuibomoa na kuanza kuijenga upya.
nawashauri yanga wasimuache Hans katu.
siye tushaizoea nafasi ya tatu!!!
kila siku huwa nasema bongo hakuna soccer kuna kabumbu
mashabiki na wachezaji wanataka kuiona pepo bila kufa
walichofanya simba ni sawa,kocha alikuwa anataka mkataba wa miezi tisa na kama uongozi ulikataa hilo kwa sababu kama kocha wangempa mkataba wa miez tisa,angeweza fanya usajili wa wachezaji anaotaka yeye na kuwatimua ambao hawataki katika club ya simba,na mara baada ya mkataba wake kuisha angeiacha timu na simba wangetakiwa watafute kocha mwingne.hasara ambayo wangeweza pata ni kocha mpya ambae wangemuajiri angekuta wachezaji waliosajiliwa na kocha mwingne na yeye kama mfumo wake ungekuja kuwa tofauti angeweza watema wachezaji wengne na hivyo kuingizia hasara club.bora walivyomuacha na inaonekana kuna timu inamuhitaji baada ya miezi tisa ijayo
Nakuunga mkono mkuu.. Haiwezekani ndani ya miezi 9 kocha apewe 💲 100,000/= mshahara wa zaidi ya 💲 5,000/= kwa mwezi.. Asepe zake.
duh hiyo ni gross au net?Nakuunga mkono mkuu.. Haiwezekani ndani ya miezi 9 kocha apewe  100,000/= mshahara wa zaidi ya  5,000/= kwa mwezi.. Asepe zake.
duh hiyo ni gross au net?