wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
mkuu...hapana
Pale Simba kuna tatizo ...tena kubwa sana.....Umejiuliza hizo pesa ambazo hua zinapatikana zinaenda wapi?
Jiulize na wewe...hivi ni sawa kwa kocha kumfundisha mchezaji anayelipwa pesa nyingi kwa mbaliiii zaidi yake?
Kuna vitu inabidi tujue kuwa kina Hanspope ndio wanaiharibu timu
Kopunovic alishaijulia simba..wachezaji walishamuelewa....sasa wewe unakimbilia kutafuta cheap labor mwingine na unategemea timu ifanye vizuri...huyo cheap labor aje na style yake tofauti...ligi inaanza mwezi wa nane
Lets be realistic
simba na Yanga mifumo ya wote ni ile ile tu
Timu hazina pesa
Ni ombaomba kwa matajiri wachache kama kina Manji
Unasema simba na Yanga zina mfumo sawa... Labda nikuulize.. Hivi simba wamefukuza Makocha wangapi kwa kipindi cha msimu 2..?
"Timu hazina pesa"
Ahh umeshawahi kusikia Yanga Fc imefika hatua ya Kutangaza mbele ya vyombo vya habari kwamba IMEFILISIKA...?
Timu hazina pesa
Ni ombaomba kwa matajiri wachache kama kina Manji
Comments za watu wengi humu zinaonyesha kulalamikia soka la Bongo.
Baada ya kulalamikia soka la timu yao kwanza...!
Yaani timu yenu ikifanya Umbumbumbu basi Unadhani na wengine wanafanya hikohiko.
Simba mpaka sasa imefukuza MAKOCHA wasiopungua watano 5 katika kipindi cha miaka 5.
Hakuna Klabu ambayo imeshafanya hivyo. Hiyo ni record ya kipe
kee.
Mkuu, baadhi ya wachezaji kulipwa pesa nyingi kuliko makocha wao ni kawaida. Ni kocha gani analipwa hela za akina Yaya Toure, Wayne Rooney, Ronaldo, Messi nk ?
Pale Simba bado kuna tatizo la msingi - kuinguilia kazi ya kocha. Pamoja na kwamba mimi ni Yanga, sisemi kiushabiki lakini naamni angalau viongozi wa Yanga wamejifunza na kuanza tabia ya kuingilia kazi za kiufundi na matunda tunayaona.
Ndiyo maana Kopunovic kaona bora achukue pesa kubwa ili wakiingilia kazi yake atimue lakini pesa kachukua.
Miaka mitano yote hiyo?
Nakutajia wa juzi juzi
Milovan, Lieweg,yule wa Gor Mahia, Kibaden,phiri, kopunovic.
Wrote juz juz tu hao
Hadhi ya Yanga Fc kifedha haijachangiwa na Manji.!
Vipi kipindi kile ambacho Manji hakuwa karibu na Yanga...?
[\B]
Hata akijaYesu kufundisha sola la bongo, kwa spidi hii, hatutoboi!
hazina pesa
Ni ombaomba kwa matajiri wachache kama kina Manji
Hadhi ya Yanga Fc kifedha haijachangiwa na Manji.!
Vipi kipindi kile ambacho Manji hakuwa karibu na Yanga...?
Nadhani atakuwa Logarusic ndie alitoka Gor Mahia akaja kuifundisha simba, nadhani alitimuliwa baada ya simba kulambwa goli 3-0 na Zesco ya Zambia kwenye game ya simba day.....Miaka mitano yote hiyo?
Nakutajia wa juzi juzi
Milovan, Lieweg,yule wa Gor Mahia, Kibaden,phiri, kopunovic.
Wrote juz juz tu hao
Mkuu...Kuna kipindi Yanga ilienda kuweka Kambi Moshi ikashindwa kulipia hoteli wakawa wanadaiwa hadi kushikiliwa gari lao
Labda uwe mgeni wa soka la simba na Yanga
Hizi timu hua migogoro inahama toka upande mmoja kwenda mwingine
Kabla ya Manji ...Yanga kuna wakati ilikua inalia njaa
[h=2]Jumatano, 28 Desemba 2011[/h] [h=3]WACHEZAJI YANGA NJAA KALI, PESA HAKUNA.[/h]
[h=3]Wachezaji Yanga walia njaa[/h]
Timu ya YangaIkiwa inakabiliwa na ushindani mkali katika kampeni yake ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara na pia mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, programu za mazoezi ya Yanga inashindwa kutekelezeka kikamilifu kutokana na wachezaji wake kutopata mishahara yao ya miezi miwili.Mishahara hiyo ambayo wachezaji wanadai ni ya mwezi Novemba na Desemba, ambao umeambatana na sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili imezipata ni kwamba mbali na wachezaji hao, pia wafanyakazi wengine walioajiriwa na klabu hiyo hawajalipwa kwa muda wa miezi mitatu sasa.
Chanzo hicho kiliongeza kuwa hali hiyo ya ukata imechangia mambo mengi kutofanyika kama ilivyotarajiwa ikiwemo kuvurugika kwa programu ya mazoezi.
"Hali ni mbaya, klabu haina pesa, mambo mengi hayafanyiki kama ilivyokusudiwa, tunajaribu kufanya kila linalowezekana ili kutatua tatizo hili linalotukabili," alisema mmoja wa viongozi wa Yanga ambaye hakutaka jina lake litajwe.
Aliongeza kuwa kukosekana kwa fedha kutoka kwa aliyekuwa mfadhili wao na mapato madogo ya mlangoni yaliyokuwa yakipatikana katika mechi za mzunguko wa kwanza wa ligi ndio sababu nyingine iliyofanya klabu yao ikose fedha za kujiendesha.
Mkuu! Naona umeniletea source ya maelezo ambayo inatokana na mawazo binafsi ya mtu...!
Msemaji gani wa Club ambaye anatoa maelezo kwenye chombo cha habari chenye Hadhi na kusema kwamba asitajwe jina...?
Je wewe unaamini hicho chanzo.?
Unafikiri club ingepoteza nini kwa kuviambia vyombo vya habari ukweli halisi...?
Hakuna kitu kama hiko.....
Binafsi huwa najiuliza hawa akina Hans pope..na wenzake...au Manji...kwann wasitumie makampuni yao kudhamini hizo timu..na si kufadhili?
Maana ukitazama gharama wanazoingia kuziendesha wakati hata hawajitangazi kibiahara kupitia vilabu hivyo nashindwa kuelewa..
Huwa na hamu sana kuona hawa wafadhili wanakua wadhamini kupitia kampuni zao..
mkuu hapo kuna usanii mkubwa unafanyika.
Ni kwamba kian Hanspope hela wanazotoa ...let's say hans anasema nimemsajili Okwi kwa milioni 100......lakini Bottom line Okwi amekubaliana nae mil 50
Hio mil 50 ya ziada inasainiwa kwenye mkataba wa mchezaji.
Later on Fedha za wadhamini kina Vodacom na Kilimanjaro zikija au fedha za mapato ya milangoni Hans anaenda kudai pesa yake kwamba amemsajili Okwi kwa mil 100.....na hapo anakuwa amepiga mil 50 za kwake.
Ninajipanga tu na wenzangu...Tutachukua Uongozi wa klabu hii na kuiendesha kisomi...tutaibadili
Mkuu, baadhi ya wachezaji kulipwa pesa nyingi kuliko makocha wao ni kawaida. Ni kocha gani analipwa hela za akina Yaya Toure, Wayne Rooney, Ronaldo, Messi nk ?
Pale Simba bado kuna tatizo la msingi - kuinguilia kazi ya kocha. Pamoja na kwamba mimi ni Yanga, sisemi kiushabiki lakini naamni angalau viongozi wa Yanga wamejifunza na kuacha tabia ya kuingilia kazi za kiufundi na matunda tunayaona.
Ndiyo maana Kopunovic kaona bora achukue pesa kubwa ili wakiingilia kazi yake atimue lakini pesa kachukua.