"For Sonderjyske this is a big investment, and it is clear that we hope for his age and potential, we'll eventually sell him at a profit,"
Kama Singano Messi alivyoenda AZAM! ...na sasa nasikia kapewa nyumba na gari.tatizo ameenda bure na sidhani hata kama kuna thumuni itapokelewa
watu wenyewe hamueleweki mara mseme mechi leo mara mechi kesho njaa tu na dhiki ndizo zinawasumbueni yanga. mnatafuta hela leo kijanja za kuwamalizia " magovinda " wenu wawili " ngoma " na " zuta ". si mseme tu simba tuwakopesheni hela kwani tumepata hela nyingi sana baada ya kumuuza " super okwinyo " juzi huko nchini denmark na tuna kitu kama bilioni 3 hivi!
okwi kibabu hawezi cheza ulaya
Mmemuuza au ameondoka $ 300,000 za watunisia hamjapata hadi leo ,kweli mambumbumbu FC ndio waliwao
okwi hana mkataba simba viongozi hujigamba kuwa wamemuuza.
kama wamemuuza ni shs ngapi kwa nini hawasemi ni uongo mtupu