Simba yamwacha Morison Dar es salaam

... Morison hayupo ameachwa Dar es salaam ,pia ikumbukwe aliachwa pia kwenda Nigeria kucheza na Plateau .
Nijuavyo mimi ni kwamba Morrison alienda Nigeria na alicheza, na dakika ya mwisho kabisa ya mchezo aliangushwa ndani ya eneo la 18, mshika kibendera akasema penalty mwamuzi akasema kona. Kwa uongo huo, taarifa nzima imekosa uhalali

 
Mambo ya Simba yanawatesa sana yanga,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mleta mada k@nye ulale.
 
Apelekwe gwambina kwa mkopo
 
Maelezo mengi hakuna point. UNAJUA KILICHOMFANYA AACHWE,?
 
Vaa bikini cheza kibao kata ,shoga wa matopeni
Kitaalam nyan hana uwezo mkubwa wa kufikiri. Ku analyse na ku evaluate mambo. ONGEZEA NA UVAAJI WENU WA MADELA NA VIJORA. Wa mama ktk ubora wenu
 
Ushauri wangu kwa TFF kama ikiwapendeza wawe na Utaratibu Maalum wa Kupima Akili Timamu za Wachezaji wa VPL kila baada ya Miezi mitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…