Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Binafsi niwapongeze kwa dhati viongozi wa timu ya kagera sugar kwa uaminifu mkubwa waliounyesha kwa kocha wao mecky mexime, pamoja na timu kutofanya vizuri mwaka jana hadi kunusurika kushuka daraja katika zile playoff wala hawakupandwa na pressure wakakaa chini wakatafakari wapi wameteleza na mwak huu timu ndiyo hiyoooo inafanya vizuri kabisa.
Fikiria ingekuwa simba au yanga
Mfani mzuri ni kocha wa simba Patrick Ausemms tim inacheza vizuri inapata matokeo bado kocha anataka kufukuzwa ukiuliza sababu unaambiwa kocha ana urafiki sana na wachezaji
Lipi jema sasa maana mwaka jana masoud Juma alifukuzwa tukiambiwa alikuwa mchonganishi wa wachezaji leo kocha rafiki wa wachezaji hatumtaki
MKUDE matatizo yake ya nidhamu hayajaanza leo toka enzi na enzi
Wala msimzingizie kocha Patrick
Fikiria ingekuwa simba au yanga
Mfani mzuri ni kocha wa simba Patrick Ausemms tim inacheza vizuri inapata matokeo bado kocha anataka kufukuzwa ukiuliza sababu unaambiwa kocha ana urafiki sana na wachezaji
Lipi jema sasa maana mwaka jana masoud Juma alifukuzwa tukiambiwa alikuwa mchonganishi wa wachezaji leo kocha rafiki wa wachezaji hatumtaki
MKUDE matatizo yake ya nidhamu hayajaanza leo toka enzi na enzi
Wala msimzingizie kocha Patrick