Simba & Yanga Special Thread

Simba & Yanga Special Thread

Hata mimi nimeshangaa kuwaweka Yanga na hao jamaa pamoja, level ya Yanga ni Raja Casablanca,Tp Mazembe au Zamaleki, Simba na wenzao kina Mbao,Majimaji Mwadui.
unachochea Thread iwe na replies nyingi,endelea na uchochezi
 
1. Bartez
2. Juma Abdul Mnyamani
3. Haji Mwinyi Mngwali
4. Andrew Vicent 'Dante''
5. Kelvin Yondani 'Vidic'
6. Mbuyu Kabange Twite 'Chuma'
7. Simon Happygod Msuva
8. Thaban Scara Kamusoko
9. Amis Joycelyn Tambwe
10. Donald Dombo Ngoma
11. Deus Kaseke

Sub;
Dida
Vicent Bassou
Haruna Niyonzima
Oscar Joshua
Juma Mahadhi
Matteo Damian
 
1. Bartez
2. Juma Abdul Mnyamani
3. Haji Mwinyi Mngwali
4. Andrew Vicent 'Dante''
5. Kelvin Yondani 'Vidic'
6. Mbuyu Kabange Twite 'Chuma'
7. Simon Happygod Msuva
8. Thaban Scara Kamusoko
9. Amis Joycelyn Tambwe
10. Donald Dombo Ngoma
11. Deus Kaseke

Sub;
Dida
Vicent Bassou
Haruna Niyonzima
Oscar Joshua
Juma Mahadhi
Matteo Damian
huyu mahadhi mi naonaga bora aanze first 11,mbona Chwirwa hayupo??
 
huyu mahadhi mi naonaga bora aanze first 11,mbona Chwirwa hayupo??
Upo sahihi, kinachomtofautisha Kaseke ni uwezo wake wa kusaidia kukaba pindi adui anapo miliki mpira. Chirwa anahitaji muda kidogo, hii gemu ya machozi jasho na damu.
 
Upo sahihi, kinachomtofautisha Kaseke ni uwezo wake wa kusaidia kukaba pindi adui anapo miliki mpira. Chirwa anahitaji muda kidogo, hii gemu ya machozi jasho na damu.
chwirwa kama pogba tu
 
sijui tutafungwa tarehe moja
ali yanga.jpg
 
View attachment 404901 View attachment 404592 View attachment 404593
SIMBA SC
Full name=Simba Sports Club.
Nickname(s)=Taifa Kubwa,Msimbazi Street Boys,Wekundu Wa Msimbazi.
Founded=1936.
Ground=National Stadium,Dar-Tanzania.Capacity 60,000.
Chairman=Evance Elieza Aveva.
Information Officer=Haji Manara.
Technical Bench.
Coach=Joseph Omog.
Ass.Coach=Jackson Mayanja.
Team Manager=Mussa H. Mgosi.
League=Tanzania Premier League.
NGUVU MOJA.

YOUNG AFRICANS SC
Full name=Young Africans Sports Club.
Nickname(s)=Yanga,Watoto Wa Jangwani.
Founded=1935,11 Februaly.
Ground=National Stadium,Dar-Tanzania.Capacity 60,000.
Chairman=Yusuph Manji.
Information Officer=Jery Muro.
Technical Bench
Coach=Hans Van Der Pluijm.
Ass.Coach=Juma Mwambusi.
Team Manager=Hafidh Saleh
League=Tanzana Premier League.
YANGA IMARA.

WATANI WA JADI SPECIAL THREAD!!
badirisha font color...
 
Hiyo kikosi ya simba ya lini mbona siwaoni mavugo,kichuya na blagnon
 
Hiyo kikosi ya simba ya lini mbona siwaoni mavugo,kichuya na blagnon
msimu uliopita ndiyo maana yupo kiiza, kesy, Mgosi, Majavi, yule beki rasta ambaye hayupo pia simba pia msimu huu hatutumii jezi za aina hii...
 
Back
Top Bottom