Simba yapanda kuwa klabu ya tano kwa ubora Africa michuano ya Caf,

mwaka huu yanga atacheza nusu fainali ya CAF atamshusha berkane,zamalek,tp mazembe na raja...means kabla mwaka hujaisha atashika nafasi ya 8
 
mwaka huu yanga atacheza nusu fainali ya CAF atamshusha berkane,zamalek,tp mazembe na raja...means kabla mwaka hujaisha atashika nafasi ya 8
Kila heri watani
 
mwaka huu yanga atacheza nusu fainali ya CAF atamshusha berkane,zamalek,tp mazembe na raja...means kabla mwaka hujaisha atashika nafasi ya 8
Inategemea na timu zitazopangwa

Yeyote kati ya Simba au Yanga akipangiwa Mamelodi, Safari imeisha hapo

Ubaya wa nafasi ya pili kundini ni kuanzia nyumbani unamalizia ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…