Simba yapanda kwa ubora wa klabu CAF

Madrid msimu uliopita alitolewa naajax uefa Ila dunia inafahamu Madrid nibora kuliko hata Tottenham ilyofika final,Simba kutokewa na ud songo haimaanish ndyo wabovu
 
Wewe Bora hata Baba yako angepiga punyeto tuu baaasi, Man city Juzi aliwekwa 2 kavuuu na mbweha wolves je wolves ni Bora kuliko Man city??
 
Mtani wangu wa M-Simba+zi HoNgErA zenu,lakini sisi timu wananchi tunakosea wapi?mbona tupo baridiiii hata kwenye lank ya Caf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…