Simba yapata mpinzani mkali kwenye nafasi ya pili

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaaaam wakuu

Kwa jinsi ninavyoona singida Black stars wanavyowasha moto pale kileleni na kuwa namba Moja .......ninapata wasiwasi jinsi upinzani wa kugombania nafasi ya pili baina ya Simba na singida big stars utakavyokua mgumu

Kwasababu ni lazima tu Yanga atakua no 1 kwenye msimamo then wengine hawa watakula kwenye vita Kali sana

NB: Je Nan atashinda battle la nafasi ya pili kati ya Simba na big stars where other factors ( team remain constant
 
Siku hizi huombi ufanywe lolote, umekuaje?. Huko nyuma hukuwa hivi, ilikuwa lazima uombe kufanywa jambo. Utasikia, Siioni Simba ikishinda, naomba nipigwe ban.
 
Siku hizi huombi ufanywe lolote, umekuaje?. Huko nyuma hukuwa hivi, ilikuwa lazima uombe kufanywa jambo. Utasikia, Siioni Simba ikishinda, naomba nipigwe ban.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakika huko nyuma hakuwa hivi aise amebadirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…