KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,705
- 4,217
Mods sahihisha kichwa cha habari "Uliosababishwa"
Klabu kubwa Nchini TZ kabla ya kusafiri leo 24 April.Imeandikia barua ya malalamiko CAF kufuatia kitendo cha mashabiki wa wydad kusambaza moshi uwanja wa mkapa siku ya jumapili.Moshi uliopelekea mechi kusimama kwa dakika kadhaa
Pia,Simba SC imeomba CAF itoe Onyo kali kwa mashabiki wa Wydad kuelekea mechi ya marudiano itakayopigwa nchini Morocco mji wa Casablanca.
Simba imeiomba bodi ya CAF kutoa adhabu kali ikiwemo kupewa point endapo mashabiki wa wydad watarudia vitendo kama walivyovifanya Kwa mkapa
IKUMBUKWE mechi itapigwa saa 8 usiku kwa saa za EAC ambapo kwa saa za morocco ni saa5 usiku na ticket za uwanja wa Wydad zinaelekea kuisha huku VIP level 1 na 2 zikiwa zimeuzwa zote(Sold out)
Nawasilisha!!
Klabu kubwa Nchini TZ kabla ya kusafiri leo 24 April.Imeandikia barua ya malalamiko CAF kufuatia kitendo cha mashabiki wa wydad kusambaza moshi uwanja wa mkapa siku ya jumapili.Moshi uliopelekea mechi kusimama kwa dakika kadhaa
Pia,Simba SC imeomba CAF itoe Onyo kali kwa mashabiki wa Wydad kuelekea mechi ya marudiano itakayopigwa nchini Morocco mji wa Casablanca.
Simba imeiomba bodi ya CAF kutoa adhabu kali ikiwemo kupewa point endapo mashabiki wa wydad watarudia vitendo kama walivyovifanya Kwa mkapa
IKUMBUKWE mechi itapigwa saa 8 usiku kwa saa za EAC ambapo kwa saa za morocco ni saa5 usiku na ticket za uwanja wa Wydad zinaelekea kuisha huku VIP level 1 na 2 zikiwa zimeuzwa zote(Sold out)
Nawasilisha!!