Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Klabu ya soka ya MC Alger ya Algeria, imetuma ofa ya $350,000 sawa na TSh. 890,322,650 ili kumnasa Kibu Denis. MC Wwako serious na Kibu wanamuhitaji haraka sana ndani ya dirisha hili dogo.
Pia, Soma: Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho
Kibu amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na nusu na klabu ya Simba na kwenye mkataba huo kuna kipengele cha kumuachia kwa $1m sawa na Tsh 2.5 ambayo ni release clause.
Pia, Soma: Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho
Kibu amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na nusu na klabu ya Simba na kwenye mkataba huo kuna kipengele cha kumuachia kwa $1m sawa na Tsh 2.5 ambayo ni release clause.