Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Mzize hana mashindano ya Kimataifa siyo kama Kibu DWale wacha mbuzi waliokuwa wanakaza fuvu kuhusu Mzize kutopewa fursa ya kwenda kucheza nje tunataka tuwasikilize wakichambua na kwa Kibuš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzize hana mashindano ya Kimataifa siyo kama Kibu DWale wacha mbuzi waliokuwa wanakaza fuvu kuhusu Mzize kutopewa fursa ya kwenda kucheza nje tunataka tuwasikilize wakichambua na kwa Kibuš¤£
Cha kuchekesha ni kwamba hao hao waarabu unaosema Kibu ndiyo anawakanda kila sikuSina haja ya kujua soka, mimi natoa fact tu, Kwanza hakuna timu ya kaskazin ikanunue mchezaji ambaye hata kugeuka hawezi inabidi akate kona, Kupiga kichwa au shuti mpaka ang'ate meno hakuna pesa ya mchezo kwa mwarabu endeleeni kudanganyana.
Wakati anang'ata meno ili apige, uo mpira watu walisha pita nao, kaskazin hawana u goigoi katika soka.
Klabu ya soka ya MC Alger ya Algeria, imetuma ofa ya $350,000 sawa na TSh. 890,322,650 ili kumnasa Kibu Denis. MC Wwako serious na Kibu wanamuhitaji haraka sana ndani ya dirisha hili dogo.
Pia, Soma: Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho
Kibu amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na nusu na klabu ya Simba na kwenye mkataba huo kuna kipengele cha kumuachia kwa $1m sawa na Tsh 2.5 ambayo ni release clause.
Naunga mkono hoja ndio maana WYDAD wakamuacha mzinzi wakamsajili SELEMANI MWALIMUSina haja ya kujua soka, mimi natoa fact tu, Kwanza hakuna timu ya kaskazin ikanunue mchezaji ambaye hata kugeuka hawezi inabidi akate kona, Kupiga kichwa au shuti mpaka ang'ate meno hakuna pesa ya mchezo kwa mwarabu endeleeni kudanganyana.
Wakati anang'ata meno ili apige, uo mpira watu walisha pita nao, kaskazin hawana u goigoi katika soka.