Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wale wacha mbuzi waliokuwa wanakaza fuvu kuhusu Mzize kutopewa fursa ya kwenda kucheza nje tunataka tuwasikilize wakichambua na kwa Kibu🤣
Kolo bana. Kwa kua wamesikia Mzinze anàhitajika na Waarabu wameona wabalansishe kwa Rasta.Klabu ya soka ya MC Alger ya Algeria, imetuma ofa ya $350,000 sawa na TSh. 890,322,650 ili kumnasa Kibu Denis. MC Wwako serious na Kibu wanamuhitaji haraka sana ndani ya dirisha hili dogo.
Kibu amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na nusu na klabu ya Simba na kwenye mkataba huo kuna kipengele cha kumuachia kwa $1m sawa na Tsh 2.5 ambayo ni release clause.
Mbona kama unaumia mkuu? umesahau Ki D ni Mnorwaaaaay 😛 😀🤣🤣🤣 Mbumbumbu aisee
Na nyie mkaona msibaki nyuma
Muonekane mmo
Timu Gani imhitaji Kibu
Huyo ni wenu mtakufa nae ni ndoa ya kikristo ya kufa na kuzikana
Alienda kufanya majaribio na timu ya daraja la 4 na Bado akashindwaMbona kama unaumia mkuu? umesahau Ki D ni Mnorwaaaaay 😛 😀
Nasikitika kukwambia kwamba, achana na soka kwa sababu hujui kabisa soka.Endeleeni na story za ndugu Micky Junior mwandishi wa mchongo.
Hakuna timu yoyote kwa sasa itakayo toa dola 100,000/= achana na 350,000/= kwa mshamuliaji/ winga ambaye katika siku 400 kwenye ligi ajafikisha goli 2.
Kwakua ni mbumbumbu fc wanao pigiwa Gita basi ni ruksa kucheza.
Ni wivu tu mkuu, ila ukweli una ujua hapo ulipo kuhusu makandajiAlienda kufanya majaribio na timu ya daraja la 4 na Bado akashindwa
Ndio maisha ya huku mitandaoni chief, watu wana heal kwenye post za wengine 😀Sasa Mashabiki Vilaza Ndio wamejazana Kutoa Kauli za Hovyo mtu kaleta Habari Na Chanzo kaweka!!
Ukijua wewe inatosha, ila uo ndio ukweli kama ime kuuma sina namna.Nasikitika kukwambia kwamba, achana na soka kwa sababu hujui kabisa soka.
Ova
Nimekusaidia tu kukupa ushauri ili usiendelee kupoteza muda wako kwenye soka. Hulijui.Ukijua wewe inatosha, ila uo ndio ukweli kama ime kuuma sina namna.
Msimu wa 2021/22 top score unamkumbuka alikuwa nani?Endeleeni na story za ndugu Micky Junior mwandishi wa mchongo.
Hakuna timu yoyote kwa sasa itakayo toa dola 100,000/= achana na 350,000/= kwa mshamuliaji/ winga ambaye katika siku 400 kwenye ligi ajafikisha goli 2.
Kwakua ni mbumbumbu fc wanao pigiwa Gita basi ni ruksa kucheza.
Kibu angekuwa kwa vyura lazima mngeenda robo fainali.Endeleeni na story za ndugu Micky Junior mwandishi wa mchongo.
Hakuna timu yoyote kwa sasa itakayo toa dola 100,000/= achana na 350,000/= kwa mshamuliaji/ winga ambaye katika siku 400 kwenye ligi ajafikisha goli 2.
Kwakua ni mbumbumbu fc wanao pigiwa Gita basi ni ruksa kucheza.
Sina haja ya kujua soka, mimi natoa fact tu, Kwanza hakuna timu ya kaskazin ikanunue mchezaji ambaye hata kugeuka hawezi inabidi akate kona, Kupiga kichwa au shuti mpaka ang'ate meno hakuna pesa ya mchezo kwa mwarabu endeleeni kudanganyana.Nimekusaidia tu kukupa kukushauri ili usiendelee kupoteza muda wako kwenye soka. Hulijui.
Ova
Bongo ujuaji mwingi kupitiliza.Endeleeni na story za ndugu Micky Junior mwandishi wa mchongo.
Hakuna timu yoyote kwa sasa itakayo toa dola 100,000/= achana na 350,000/= kwa mshamuliaji/ winga ambaye katika siku 400 kwenye ligi ajafikisha goli 2.
Kwakua ni mbumbumbu fc wanao pigiwa Gita basi ni ruksa kucheza.