Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
By the way hizo tochi hazisaidii lolote, ndio maana hata magolikipa huwa hata hawaonyeshi kukerwaHiyo ni kauli ya kuzuga na unafiki tu ili uongozi wa Simba unawe mikono, lakini nyuma ya pazia uongozi wa Simba ndio wanaratibu uwepo wa tochi kwenye hiyo michezo.