Hiyo timu ya Simba sc, iliyofungwa goli saba na Royal Eagles ni ya wapi ?
Maana Uganda kuna timu ya Rais Museveni inaitwa Simba sc
Kongo DRC kuna timu inaitwa Simba sc
Afrika ya kusini kuna timu inaitwa Simba sc
Zote ziko madalaja ya chini kama hiyo Royal Eagles
Inawekana kabisa hako ka ubao ka matangazo kalionesha matokeo ya mechi kati ya mojawapo ya hizo timu zinazoitwa Simba sc ambazo sio za Tanzania.
Kama ni Simba ya Tanzania leteni ubao ulioonesha majina ya wachezaji walioanza na wale waliokuwa bechi.
Maana kila mechi ni lazima majina hayo yaandikwe katika mbao za matangazo.
Yanga fc wacheni kuendekeza maneno ya umbea.