babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Ulikua umelala? Au ndiyo unaamka?Habari ndio hivyo wanasimba wenzangu.
Sijui tukajifiche chaka lipi, hatuna tena la kuwaambia utopolo.
Sehemu pekee tulivyokuwa tumebakiza ni kuwa sisi ni miongoni mwa timu Bora 10 barani Afrika.
Kwa mujibu wa takwimu mpya ni kuwa Yanga wametoboa kutoka kulikojulikana paka no 9 huku wakitutimulia vumbi sisi Simba na kutuacha midomo wazi.
Kwaio Wana Simba wenzangu tukubali tu kuwa hii Yanga ya sasa ni timu Bora zaidi nchini Tanzania, Afrika na Duniani Kwa ujumla.
Povu ruksaa..
View attachment 2622839
Hapana ni CAF ya kariakooCuf ya LIPUMBA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MAVI YAKO. Tumia akl walau 0.001 simba imejenga ubora wake kwa miaka ming. HATA GANGA ICHUKUE KOMBE LA SHIRIKISHO HAIWEZ HATA TOONE. Muwe na akili kdgHabari ndio hivyo wanasimba wenzangu.
Sijui tukajifiche chaka lipi, hatuna tena la kuwaambia utopolo.
Sehemu pekee tulivyokuwa tumebakiza ni kuwa sisi ni miongoni mwa timu Bora 10 barani Afrika.
Kwa mujibu wa takwimu mpya ni kuwa Yanga wametoboa kutoka kulikojulikana paka no 9 huku wakitutimulia vumbi sisi Simba na kutuacha midomo wazi.
Kwaio Wana Simba wenzangu tukubali tu kuwa hii Yanga ya sasa ni timu Bora zaidi nchini Tanzania, Afrika na Duniani Kwa ujumla.
Povu ruksaa..
View attachment 2622839
Acha kubishana na reference wewe kolo ili kuhalalisha ubishi wako hadi tuamini unavyotakaHizo ni takwimu za kipindi cha miezi hiyo iliyoainishwa hapo juu,kwa mwaka huu tu,siyo overall..ukitaka kujua nani giant nenda kwenye ile takwimu au rank za caf pale ndo kuna vigogo wenyewe.
Ni timu bora kwa msimu huuHabari ndio hivyo wanasimba wenzangu.
Sijui tukajifiche chaka lipi, hatuna tena la kuwaambia utopolo.
Sehemu pekee tulivyokuwa tumebakiza ni kuwa sisi ni miongoni mwa timu Bora 10 barani Afrika.
Kwa mujibu wa takwimu mpya ni kuwa Yanga wametoboa kutoka kulikojulikana paka no 9 huku wakitutimulia vumbi sisi Simba na kutuacha midomo wazi.
Kwaio Wana Simba wenzangu tukubali tu kuwa hii Yanga ya sasa ni timu Bora zaidi nchini Tanzania, Afrika na Duniani Kwa ujumla.
Povu ruksaa..
View attachment 2622839
Lete hizo takwimu sasa mkuu.Hizo ni takwimu za kipindi cha miezi hiyo iliyoainishwa hapo juu,kwa mwaka huu tu,siyo overall..ukitaka kujua nani giant nenda kwenye ile takwimu au rank za caf pale ndo kuna vigogo wenyewe.