lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 904
Nikupe namba ya kocha. [emoji23]Aisee! Kwani Kocha Anaonaje Akampeleka Agban Mbele Akawe Striker na Kuliacha Goli pekee?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe namba ya kocha. [emoji23]Aisee! Kwani Kocha Anaonaje Akampeleka Agban Mbele Akawe Striker na Kuliacha Goli pekee?!
Hakuna kubwabwaja,kufungwa leo ndio kwenu mvua imenyesha mnakoroma wee! Bado tinauwezo wakufanya vizuri zaidi. Leo tumepewa changamoto katika mfumo wetu wa ulinzi. Kwamba kupandisha mabeki na kujisahau ni kosa.Pia simba tunatatizo la mfungaji,ni matatizo yanayoweza kutatulika.sisi hua tunajikosoa wenyewe siyo nyinyi mnajiona mko poa kumbe mbeleko inawasaidia.
[HASHTAG]#DaimaMbele[/HASHTAG]TigoPesa FC imeshafanya Yake Hapo....
Kweli ni balaaa aisee3-0, defence ya Simba nayo si mchezo, ni nyuma mpaka mbele balaa.
Naona yanga leo wanasema hua tunanunua mechi.Hivi kuna magoli ya mkono simba? Je magoli ya offside? Wapi watu kucheza rafu mbaya za red card na kutoonywa na kadi yeyote.Hivi simba hii maskini iliyoundwa na wachezaji wenye thamani ya wachezaji watatu wa Yanga inaweza kuhonga? Acheni unazi,sisi tumefungwa kama timu nyingine.Hua tunashinda kwa jasho siyo laini kama mavyura.Acheni kukoroma.
We timu gani?Timu yangu imefunga
Mfungaji kichupi c uwa anafungaga [emoji205] [emoji23]Hakuna kubwabwaja,kufungwa leo ndio kwenu mvua imenyesha mnakoroma wee! Bado tinauwezo wakufanya vizuri zaidi. Leo tumepewa changamoto katika mfumo wetu wa ulinzi. Kwamba kupandisha mabeki na kujisahau ni kosa.Pia simba tunatatizo la mfungaji,ni matatizo yanayoweza kutatulika.sisi hua tunajikosoa wenyewe siyo nyinyi mnajiona mko poa kumbe mbeleko inawasaidia.
Ulivuka mpira mmoja tu mtani zile dakika za mashetani kurudi mitini na ndo ukaleta msiba.Uko sahihi Mkuu.. Pia kwa midfield yetu.. Sioni ni kwa jinsi gani mipira inaweza kuvuka katika ya uwanja.
Dah namshukuru refree wa leo ndoto yangu imetimia[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeota simba leo anafungwa kwa mara ya kwanza
Badilisha hapo penye 3 weka sifuri huko kwingine hata ukiacha hivyo hivyo sio mbaya.Ft Simba 3-1 Leon
Hata leo hukuona goli limepitia wapi?Ile ni ukuta wa belini,tuache unazi kuna wakati nakuwa sioni ni wapi goli kitapitia