Simba yatakiwa kulipa gharama viti kung'olewa kwa Mkapa

Waziri mshenzi huyo, ripoti ya POLISI ilieleza kuwa waarabu ndiyo walioanzisha kuwapiga mashabiki wa Simba kwa viti, wanasimba nao wakavirusha kujibu mapigo.

Huyo waziri anaifanya habari hii ionekane kuwa Simba ndiyo wakorofi. Simba Haina Sifa yoyote mbaya katika eneo la mashabiki, haijawahi kufungiwa. Anaichafua nchi yake mwenyewe kwa kukosa weledi. Alinde maslahi ya taifa badala ya kutoa matamko yanayoweza kutumiwa kama rejea baadae ya kuiharibu taswira ya mpira wetu.
 
Haya majambazi hayastaili HATA kuwa timu ni maharamia,MAHUNI,yana wivu,vijicho.

CAF TRAKO LIMEJILETA HILO KAZI KWENU.
 
Ndugu CAF hawatumii ripoti za Serikali yenu kufanya maamuzi.
Kabla ya mechi CAF wanakuwa na maofisa wao wa mchezo wanao tuma relipoti baada ya mchezo.

CAF Wana vyanzo vingine ikiwemo kampuni zilizo pewa ruhusa ya kurusha matangazo ya Moja kwa Moja Wana weza kuchukua baadhi ya matukio ya video kama ushahidi.

Kuna Video nyingi zilizo Rushwa mitandaoni zikionyesha vurugu izo kwaiyo CAF Wana Wigo Mpana wa kupata taarifa.
 
Kunywa maji mengi na upumzikee, Poleeeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani shirikisho Kuna vituko, Refa katoka Madagascar kahongwa kolekole mmoja na pakacha la Nazi mdondo, anachezesha mpira mpaka dk ya 100.
 
Yaani shirikisho Kuna vituko, Refa katoka Madagascar kahongwa kolekole mmoja na pakacha la Nazi mdondo, anachezesha mpira mpaka dk ya 100.
Kuna vituko ila mnaokata mauno ni uto.
 

Sijawahi kuona Polisi wa hovyo kama hawa tulio nao, wanaona watu wanang'oa viti na wao wapo uwanjani badala ya kuwafuata na kuwadhibiti na kuwashikilia wao wanawaangalia Tu alafu Baadae Wanakuja na matamko ya kipuuzi ambayo hayana msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…