Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Pedeshee ni cheo gani pale yanga wewe tutusa?kuna yule pedeshee ya Yanga aliyekuwa anaitwa YANGA OMARY wa Tanga,yupo Jela Maweni tangu mwaka juzi alihukumiwa kwa kukutwa na Heroin nyumbani kwake
Mbona unaweweseka kwani kuna aliesema sio maisha binafsi?Vyovyote ilivyo hayo ni maisha binafsi ya watu husika ndio maana wamekamatwa wao kama wao,zaidi ya hilo sidhani kama nina muda wa kuendelea ku-argue!!Nilih et Cum Deo
Kumbukumbu ni
Nani amekuambia mwanaume kumbusu mwenzie ni uchoko? Mbona kwenye biblia yuda alimbusu bwana yesu?Mimi ni Dada,lakini leo akitokea mtu akanipa deal ya Unga kwa kuwa najua ni UMILIONEA nitajilipua mchana kweupe,lakini tabia za kishoga kama hizi za Wanaume kubusu na kukumbatiana KICHOKO hapana kwa kweliView attachment 2418002View attachment 2418003
bila shaka nawe ni welewale,hivyo endelea kubusiwaNani amekuambia mwanaume kumbusu mwenzie ni uchoko? Mbona kwenye biblia yuda alimbusu bwana yesu?
Nimekuuliza Yuda alimbusu Yesu je nao walikuwa machoko?bila shaka nawe ni welewale,hivyo endelea kubusiwa
Ngada bwimbwi fc madawa depitivo la coruna club😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Sembe FC wanaendeleza vituko tu
Kwani alikuwa kiongozi ama kocha wa Yanga?Kumbukumbu ni jambo jema sanaView attachment 2417809View attachment 2417810
Na ushoga uendelee huko Yangahuyu anaonekana anweza kubeba hata kg20 za sembe huyu,safi sana babra mwanamke wa shoka biashara na iendelee
Kipi kimekufanya udhani huo ni ushoga?Na ushoga uendelee huko YangaView attachment 2418124View attachment 2418125
Fatilia comments za huyo jamaa utagundua kituKipi kimekufanya udhani huo ni ushoga?
Kama kusoma hujui hata picha huoni au na wewe ni mdau ndiyo maana unahalalisha?Kipi kimekufanya udhani huo ni ushoga?
Yuda alimbusu Yesu je nao ulikuwa ushoga?Kama kusoma hujui hata picha huoni au na wewe ni mdau ndiyo maana unahalalisha?
Ngada fc aka kilo 34Hongera Uongozi wa Simba kwa maamuzi ya busara yenye kuleta Utulivu Klabuni.
Hatuwezi kutolewa kwenye Focus yetu Kimataifa kwa mambo binafsi ya Mtu(Former Kocha wa Makipa).
Shime Wanasimba tuendelee kuusapoti Uongozi kwa Juhudi wanazofanya kwa Timu yetu.
Alikuwa na cheo pale Yanga?kuna yule pedeshee ya Yanga aliyekuwa anaitwa YANGA OMARY wa Tanga,yupo Jela Maweni tangu mwaka juzi alihukumiwa kwa kukutwa na Heroin nyumbani kwake
Ngada ishaharibu ubongo wakoVyovyote ilivyo hayo ni maisha binafsi ya watu husika ndio maana wamekamatwa wao kama wao,zaidi ya hilo sidhani kama nina muda wa kuendelea ku-argue!!Nilih et Cum Deo
Huyo usibishane nae,ngada ishaharibu ubongo wake.Pedeshee ni cheo gani pale yanga wewe tutusa?
Hii ni Vita kuihusisha Klabu ya Simba.Ngada fc aka kilo 34
Mimi ni Dada,lakini leo akitokea mtu akanipa deal ya Unga kwa kuwa najua ni UMILIONEA nitajilipua mchana kweupe,lakini tabia za kishoga kama hizi za Wanaume kubusu na kukumbatiana KICHOKO hapana kwa kweliView attachment 2418002View attachment 2418003