Simba yatambulisha Kocha mpya wa Makipa

Hii ni Vita kuihusisha Klabu ya Simba.

Kosa amefanya Mwarami alafu inasemwa Klabu ya Simba, ambayo iliacha kufanya naye kazi mwezi Mmoja uliopita.

Hii sio sawa Mkuu
Acha kutetea uongozi mkuu., Japo hayo ni makosa yake binafsi wala siyo ya taasisi ya Simba S.C ila hii ishu ya kuajili watu ki deiwaka inatuaibisha sana. Kipindi kile anaondoka Manara alitoa tuhuma kuwa hakuwa na mkataba, Mgunda the same story, Leo huyu Muharami nae eti alikuwa deiwaka....
Uongozi unafeli pakubwa sana
 
Ni kweli Mkuu, lakini ndiyo maana Jana ilitolewa taarifa ya Simba kumuajiri Kocha wa Makipa.

Hivyo suala la Udeiwaka limefanyiwa kazi.

Tuombeeni Kheri, tunapitia kipindi kigumu kidogo ingawa tutakivuka salama
 
Ni kweli Mkuu, lakini ndiyo maana Jana ilitolewa taarifa ya Simba kumuajiri Kocha wa Makipa.

Hivyo suala la Udeiwaka limefanyiwa kazi.

Tuombeeni Kheri, tunapitia kipindi kigumu kidogo ingawa tutakivuka salama
Sawa taarifa imetolewa lakini at the wrong time..
 
Sawa taarifa imetolewa lakini at the wrong time..
Kuna Wakati lazima ufanye maamuzi magumu ili kusonga mbele.

Tuna michuano ya Kimataifa pamoja na ya Ndani kwahiyo hatuwezi kuendelea pasipo kuwa na Kocha wa Makipa.

Hayo Masuala ya Mwarami hayawezi kuisha leo Wala Kesho.

Hakuna Yanga Imara Pasipo Simba.

Mkumbuke sisi ndiyo Wawakilishi Pekee Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati wenye Rekodi nzuri Champions League
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…