No.Control nzur sna kwa olando wanaqezq pata goli hata moja naona goli Happ kuzuia hakusaidii kitu smba funguka
Afunguke ili aliwe kichwa? Akishikilia bomba vizuri hivihivi kwa dakika 30, mambo yatakuwa mazuri.Control nzur sna kwa olando wanaqezq pata goli hata moja naona goli Happ kuzuia hakusaidii kitu smba funguka
Aaah nahuo mkia wako,linawafaa zaidiMbona hili jina linawafaa sana nyie.
Dah!...hili limewakumba wengi tu..Sikujua kama nina presha hivi,leo nimejua [emoji848][emoji848][emoji848] chakula hakiendi
Ana jamba mno huko aliko, ila tulipita Semis [emoji91]tajiri Mo kama namuona hivi uko alipo,atakua kaiva kawa mwekundu kwa presha.
Hadi nachapia.Tumekoswa tena, aiseeeh[emoji15]