Simba yauza tiketi zote za Simba Day leo Agosti 3, 2023, zaidi ya saa 48 kabla ya siku yenyewe

Simba yauza tiketi zote za Simba Day leo Agosti 3, 2023, zaidi ya saa 48 kabla ya siku yenyewe

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_9652472549774426af37dde4c9d22c0e_364094388_18366263272071034_186151056535763391...jpg

Historia mpya imeandikwa kwa tiketi zote kununuliwa siku tatu kabla ya SIMBA DAY.

Shukrani kwa mashabiki wote ambao wamenunua tiketi
 
wenzenu wamejaza makombe kabatini nyie mnafikiria kujaza uwanja na kuendesha bahati na sibu.

mafanikio simba 2022/23 kujaza uwanja.
huna akili kama kawaida ya utopolo, unajua kwanini CAF wameamua mechi ya ufunguzi ichezwe Dar es salaam??? na simba ndio anafungua dimba ama na mamelodi, al ahly, esperance, au wydad.
 
Back
Top Bottom