OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Historia mpya imeandikwa kwa tiketi zote kununuliwa siku tatu kabla ya SIMBA DAY.
Shukrani kwa mashabiki wote ambao wamenunua tiketi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ukitaka nunua tiketi waweza kwa simuView attachment 2707301
Mm ni YANGA kadi namba 257 ila simba mmeshindikana Jamani hakuna timu bora Afrika kama simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ficha upumbavu wakowenzenu wamejaza makombe kabatini nyie mnafikiria kujaza uwanja na kuendesha bahati na sibu.
mafanikio simba 2022/23 kujaza uwanja.
Wale walioandaa mechi Chamanzi siku hiyo ili kidhoofisha Simba Day naona naniliu zinagonga chupi zinarudi ndani.View attachment 2707288
Historia mpya imeandikwa kwa tiketi zote kununuliwa siku tatu kabla ya SIMBA DAY.
Shukrani kwa mashabiki wote ambao wamenunua tiketi
View attachment 2707301
Mm ni YANGA kadi namba 257 ila simba mmeshindikana Jamani hakuna timu bora Afrika kama simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2707298
Mm ni YANGA ila simba mmeshindikana [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
huna akili kama kawaida ya utopolo, unajua kwanini CAF wameamua mechi ya ufunguzi ichezwe Dar es salaam??? na simba ndio anafungua dimba ama na mamelodi, al ahly, esperance, au wydad.wenzenu wamejaza makombe kabatini nyie mnafikiria kujaza uwanja na kuendesha bahati na sibu.
mafanikio simba 2022/23 kujaza uwanja.